Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzindakaya alonga

MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Government Union Structure

Mzindakaya Faults Three


Mzindakaya Faults Three-Government Union Structure
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Profesa Mwandosya alonga


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja  iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...

 

9 years ago

Vijimambo

LOAWASSA ALONGA NA WANAHABARI

Nimewaita kueleza masikitiko yetu mawili
Haswa katika upande wa jeshi la polisi

Tuna vijana wetu wanaofanya kazi za IT kwa kujitolea maeneo ya kinondoni na kijitonyama jumla ya vituo vitatu

Hawa vijana wanafanya uzalendo,kushiriki katika uchaguzi wa nchi yao,na kujenga historia moya ya nchi yao,tendo la kuwakamata si la haki kabisa

Wamewavamia na kuwakamata kwa kosa la human trafficing ambalo ni kosa kubwa na halifanani na kazi wanazofanya

Nimeona taarifa zao za matokeo ya kura wameanza...

 

11 years ago

Habarileo

Mzindakaya awalipua Ukawa

Dk Chrisant MzindakayaMWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.

 

10 years ago

GPL

Y-TONY ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Y-Tony akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano leo. Y-Tony wakati akifanyiwa mahojiano na presenta wa Global TV Online, Pam Daffa (kushoto).…

 

10 years ago

Habarileo

Mzindakaya alipua wagombea urais

Dk Chrisant MzindakayaSIKU chache baada ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuanikwa na kuonekana kupandisha joto la uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameibuka na kuwataka wagombea wa nafasi nyeti kama ya urais, kujikita katika siasa safi na za kisasa zaidi.

 

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya: waliohama CCM wapuuzwe

MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wao wa nafasi mbalimbali, wasigombane na waliohama chama hicho kwa kusisitiza kwamba wakifanya hivyo, watakuwa wanakosea.

 

10 years ago

Habarileo

Mzindakaya, DC mstaafu wamtambikia Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo PindaMWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Sumbawanga, Kanali mstaafu Anthony Mzuri ambao ni wazee maarufu mkoani Rukwa, wamemtambikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani