Mzindakaya alonga
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2NsQvxpgXk/default.jpg)
11 years ago
Government Union Structure10 Feb
Mzindakaya Faults Three
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UnlL5EhAqHM/VWMdf43jJEI/AAAAAAAAuXc/PMyz3Y_A7aA/s72-c/lowassa%2B%25281%2529.jpg)
LOAWASSA ALONGA NA WANAHABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UnlL5EhAqHM/VWMdf43jJEI/AAAAAAAAuXc/PMyz3Y_A7aA/s640/lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Haswa katika upande wa jeshi la polisi
Tuna vijana wetu wanaofanya kazi za IT kwa kujitolea maeneo ya kinondoni na kijitonyama jumla ya vituo vitatu
Hawa vijana wanafanya uzalendo,kushiriki katika uchaguzi wa nchi yao,na kujenga historia moya ya nchi yao,tendo la kuwakamata si la haki kabisa
Wamewavamia na kuwakamata kwa kosa la human trafficing ambalo ni kosa kubwa na halifanani na kazi wanazofanya
Nimeona taarifa zao za matokeo ya kura wameanza...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Mzindakaya awalipua Ukawa
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.
10 years ago
GPLY-TONY ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Habarileo17 Nov
Mzindakaya alipua wagombea urais
SIKU chache baada ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuanikwa na kuonekana kupandisha joto la uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameibuka na kuwataka wagombea wa nafasi nyeti kama ya urais, kujikita katika siasa safi na za kisasa zaidi.
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mzindakaya: waliohama CCM wapuuzwe
MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wao wa nafasi mbalimbali, wasigombane na waliohama chama hicho kwa kusisitiza kwamba wakifanya hivyo, watakuwa wanakosea.
10 years ago
Habarileo18 Jun
Mzindakaya, DC mstaafu wamtambikia Pinda
MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Sumbawanga, Kanali mstaafu Anthony Mzuri ambao ni wazee maarufu mkoani Rukwa, wamemtambikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.