Mzindakaya, DC mstaafu wamtambikia Pinda
MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Sumbawanga, Kanali mstaafu Anthony Mzuri ambao ni wazee maarufu mkoani Rukwa, wamemtambikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Mzindakaya agomea ombi la RC mbele ya Pinda
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Pinda akutana na Rais Mstaafu wa Poland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao kati ya ujumbe wa Tanzania na ujumbe wa Poland aulioongozwa na Rais Mstaafu wa nchi hiyo Lech Walesa (kushoto) katika hafla ya utiaji saini makubaliaono ya mkopo nafuu ambapo Tanzania itapokea Matrekta kutoka Poland yatakayounganishwa na SUMA JKT hapa nchini. Utiaji saini huo ulifanyika kwenye Makao Makuu ya JKT Mlalakuwa jijini Dar es slaam Oktoba 22, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais mstaafu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSSIdxLoyGk/VOdm-63FGaI/AAAAAAAHE1s/uxV3SFbXMfg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MH. PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MSTAAFU MWALUNYUNGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-iSSIdxLoyGk/VOdm-63FGaI/AAAAAAAHE1s/uxV3SFbXMfg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iP9q4yg4V_c/VOdm-83WAgI/AAAAAAAHE1w/uy-tLeEb7qg/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D9_EcMEErRo/VOdm-4rMKEI/AAAAAAAHE10/IkwstYgRf9U/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Pinda ashiriki mazishi ya Luteni Kanali mstaafu Kitenga
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kaburini katika mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu, Luteni Kanali Benedict Kitenga yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kola, Morogoro mjini Aprili 24, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimfariji Mama Francisca Kitenga baada ya mazishi ya mumewe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu,Luteni Kanali Benedict Kitenga yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kola , Morogoro mjini Aprili 24, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda...
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MH PINDA AMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR, SALMIN AMOUR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NEq67U-Shrw/Vl2x1s8koNI/AAAAAAAIJkI/KCOpMXXtOyM/s72-c/China%2BCulture%2BCentre%2B01.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA AFUNGUA KITUO CHA UTAMADUNI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NEq67U-Shrw/Vl2x1s8koNI/AAAAAAAIJkI/KCOpMXXtOyM/s640/China%2BCulture%2BCentre%2B01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hjzYntxfzjM/Vl2x2ieiLII/AAAAAAAIJkc/vA1c0FkGiew/s640/China%2BCulture%2BCentre%2B04.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!
![IMGS2602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS2602.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x3wthnMn_QI/VlHCCLtIf9I/AAAAAAAIHyY/RZMte-famBo/s72-c/1ee4fa56-9bed-45a8-a45f-eecbffb4d41e.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-x3wthnMn_QI/VlHCCLtIf9I/AAAAAAAIHyY/RZMte-famBo/s640/1ee4fa56-9bed-45a8-a45f-eecbffb4d41e.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DONIF0ud_sw/VlHCB1pKXtI/AAAAAAAIHyQ/lF_AIXlDhPo/s640/11ffb872-bdc5-4378-884f-09a70a61fb8d.jpg)
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati alipomtembelea nyumbani kwake katika kijiji cha Zuzu, nje kidogo ya mji wa Dodoma Jumamosi Novemba 21, 2015.
![](http://1.bp.blogspot.com/-JJvRjA6eM0k/VlHCaLQ_jEI/AAAAAAAIHyo/gfS-B2wgqhQ/s640/9bf985ef-a0f4-40d5-9d64-38a13ad326fb.jpg)
Waziri Mkuu,...