Mzindakaya awalipua Ukawa
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awalipua viongozi UKAWA
Awaonya uchu wa madaraka utawamalizaNgome ya CHADEMA Karatu yagaragazwa
Na Mwandishi Wetu, Karatu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema mwisho wa ndoa ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umekaribia.
Amesema muungano huo utabadilika jina na kuwa Ukiwa, ifikapo Oktoba, mwaka huu, wakati mgombea urais wa CCM pamoja na idadi kubwa ya wabunge wake watakapotangazwa washindi.
Alisema kelele nyingi zinazopigwa na viongozi wa UKAWA na mikakati lukuki wanayoizungumza katika...
9 years ago
Vijimambo03 Sep
MWIGULU HAKAMATIKI KATIKA KUINADI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI,AWALIPUA UKAWA
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11947676_423169441218623_4148583794825625009_n.jpg?oh=0f84ba486afb78f84eb33a4d8c716610&oe=56714DA1)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11937942_423169661218601_1676314127316112351_n.jpg?oh=81222d521cbdbc9496855651a7eab523&oe=5660B2E5)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11953037_423169527885281_6387678350303757731_n.jpg?oh=32268e6a0d9b6d80fc5d47947bdc4ae5&oe=5666F7FD)
10 years ago
Habarileo23 Dec
Utouh awalipua wabunge
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema baadhi ya wabunge hawazijui sheria walizozitunga na hivyo kujikuta wakitoa maamuzi ambayo hupingana na sheria hizo.
11 years ago
Habarileo18 Apr
Lukuvi awalipua CUF
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, amesema, si makosa raia wa Tanzania kuhofia majeshi ya ulinzi kuchukua nchi ikiwa muundo wa Muungano wa serikali mbili ukibadilishwa na kuwa serikali tatu.
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Kingunge awalipua CCM
MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale – Mwiru, amesema makada wenzake wanaomshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanakitukana Chama...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mzindakaya alonga
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.
11 years ago
Government Union Structure10 Feb
Mzindakaya Faults Three
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...
11 years ago
Mwananchi25 May
Lissu awalipua mawaziri, wabunge
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe