Kinana awalipua viongozi UKAWA
Awaonya uchu wa madaraka utawamalizaNgome ya CHADEMA Karatu yagaragazwa
Na Mwandishi Wetu, Karatu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema mwisho wa ndoa ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umekaribia.
Amesema muungano huo utabadilika jina na kuwa Ukiwa, ifikapo Oktoba, mwaka huu, wakati mgombea urais wa CCM pamoja na idadi kubwa ya wabunge wake watakapotangazwa washindi.
Alisema kelele nyingi zinazopigwa na viongozi wa UKAWA na mikakati lukuki wanayoizungumza katika...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kinana awalipua watendaji, viongozi
11 years ago
Habarileo10 Apr
Mzindakaya awalipua Ukawa
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.
9 years ago
Vijimambo03 Sep
MWIGULU HAKAMATIKI KATIKA KUINADI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI,AWALIPUA UKAWA
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11947676_423169441218623_4148583794825625009_n.jpg?oh=0f84ba486afb78f84eb33a4d8c716610&oe=56714DA1)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11937942_423169661218601_1676314127316112351_n.jpg?oh=81222d521cbdbc9496855651a7eab523&oe=5660B2E5)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11953037_423169527885281_6387678350303757731_n.jpg?oh=32268e6a0d9b6d80fc5d47947bdc4ae5&oe=5666F7FD)
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Kinana: Msiwajadili Warioba, Ukawa
11 years ago
Mwananchi26 May
Kinana akerwa na viongozi wabovu
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kinana awashukia viongozi goigoi
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kinana: Msichague viongozi wezi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka wananchi kutochagua viongozi wenye tabia ya wizi na dhuluma.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s72-c/2.jpg)
KINANA AENDELEA NA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA SPLM
![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti wa...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Kinana: Viongozi CCM wafitini, wabaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea dhambi ya fitina na ubaguzi ndani ya chama hicho. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake wilayani Mafia, Kinana alisema fitina, ubaguzi miongoni mwa viongozi, zimekuwa chanzo cha kuwavuruga watu badala ya kuwatafutia maendeleo.