Kinana: Msichague viongozi wezi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka wananchi kutochagua viongozi wenye tabia ya wizi na dhuluma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kinana awashukia viongozi goigoi
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kinana awalipua watendaji, viongozi
11 years ago
Mwananchi26 May
Kinana akerwa na viongozi wabovu
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awalipua viongozi UKAWA
Awaonya uchu wa madaraka utawamalizaNgome ya CHADEMA Karatu yagaragazwa
Na Mwandishi Wetu, Karatu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema mwisho wa ndoa ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umekaribia.
Amesema muungano huo utabadilika jina na kuwa Ukiwa, ifikapo Oktoba, mwaka huu, wakati mgombea urais wa CCM pamoja na idadi kubwa ya wabunge wake watakapotangazwa washindi.
Alisema kelele nyingi zinazopigwa na viongozi wa UKAWA na mikakati lukuki wanayoizungumza katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s72-c/2.jpg)
KINANA AENDELEA NA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA SPLM
![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Kinana awarushia kombora viongozi wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, KARATU
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameanika ufisadi ulioko katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, inayoongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Akihutubia wananchi katika Viwanja vya Mazingira mjini hapa jana, Kinana alisema viongozi wa halmashauri hiyo wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi, ingawa wamekuwa wakilaumu Serikali ya CCM kwamba haiwaletei maendeleo wananchi wake.
“Nyinyi mliochagua Chadema sijui...
10 years ago
GPL18 Sep