LOAWASSA ALONGA NA WANAHABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UnlL5EhAqHM/VWMdf43jJEI/AAAAAAAAuXc/PMyz3Y_A7aA/s72-c/lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Nimewaita kueleza masikitiko yetu mawili
Haswa katika upande wa jeshi la polisi
Tuna vijana wetu wanaofanya kazi za IT kwa kujitolea maeneo ya kinondoni na kijitonyama jumla ya vituo vitatu
Hawa vijana wanafanya uzalendo,kushiriki katika uchaguzi wa nchi yao,na kujenga historia moya ya nchi yao,tendo la kuwakamata si la haki kabisa
Wamewavamia na kuwakamata kwa kosa la human trafficing ambalo ni kosa kubwa na halifanani na kazi wanazofanya
Nimeona taarifa zao za matokeo ya kura wameanza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Iuiw0JPZDu4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y35QbttIdM4/VF98-lLzZwI/AAAAAAAAYkg/JWvTyiox2IA/s72-c/2.jpg)
SHY-ROSE BHANJI ALONGA NA WANAHABARI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y35QbttIdM4/VF98-lLzZwI/AAAAAAAAYkg/JWvTyiox2IA/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6uR0UNLCSiM/VF99AZAHXjI/AAAAAAAAYko/47BXvfb-ijM/s1600/1.jpg)
11 years ago
GPLALI CHOKI 'MZEE WA FARASI' ATINGA GLOBAL, ALONGA NA WANAHABARI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2NsQvxpgXk/default.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mzindakaya alonga
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
10 years ago
GPLY-TONY ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Aliyenusurika shambulio la Polisi alonga
11 years ago
MichuziMWIGULU NCHEMBA ALONGA UMOJA WA MATAIFA