Madiwani waliohama Chadema waingia CCM
MADIWANI waliojiuzulu na kuamua kuondoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Sebastiani Peter na Zacharia Mfuko wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Madiwani wawili Chadema wahamia CCM
11 years ago
Mwananchi09 Feb
CCM, Chadema kupambana leo uchaguzi wa madiwani
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mzindakaya: waliohama CCM wapuuzwe
MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wao wa nafasi mbalimbali, wasigombane na waliohama chama hicho kwa kusisitiza kwamba wakifanya hivyo, watakuwa wanakosea.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-fW3VeDRmc/XsKFXJho9ZI/AAAAAAALqqo/b9ySt1WXpkk9cmbZYFtt_cS_pQcoJGWIQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-16-17h44m38s345.png)
Chadema wadai kutostushwa na madiwani wao kutimkia CCM
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimesema hakijashtushwa na taarifa za Madiwani wao watatu wa wilaya ya Makete kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM kwa kuwa walishakuwa na taarifa za kuwa wamekuwa wakitishwa kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema kuwa licha ya madiwani hao kutotoa sababu hizo hadharani lakini kama chama kilishapata taarifa hizo kwa muda mrefu kwamba wamekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--R3fKLET-iI/Xu3dxUqeerI/AAAAAAALutw/LKZAKsY_FNwFdq8yv1fMcNLXOi-QAm9hACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.25%2BPM.jpeg)
CCM WILAYA YA ILALA YAVUNA MADIWANI SITA WA CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/--R3fKLET-iI/Xu3dxUqeerI/AAAAAAALutw/LKZAKsY_FNwFdq8yv1fMcNLXOi-QAm9hACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.25%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QUvQ_oXtZRQ/Xu3dxSEf_fI/AAAAAAALuto/L-OTHGcazcANnlwybKqiHiXU-VCRhVpNACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.39%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cDLnKVOBD3Q/Xu3dxRujq8I/AAAAAAALuts/2E6ZFnA3vxM7en-R4-2NMILdW2clKuaQQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.56%2BPM.jpeg)
Na Heri Shaaban
CHAMA CHA Mapinduzi CCM Wilaya ya Ilala kimepokea waliokuwa madiwani sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)TLP na ACT katika kikao...
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Dk Nchimbi awananga makada waliohama CCM
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Madiwani Chadema mbaroni