CCM, Chadema kupambana leo uchaguzi wa madiwani
Uchaguzi wa madiwani katika Kata za Malindo wilayani Rungwe na Santiliya katika Wilaya ya Mbeya Vijijini, unafanyika leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Chadema kimeshindwa kwa mengi uchaguzi madiwani
>Wapo wanaosema uchaguzi mdogo uliofanyika Februari 8 mwaka huu katika kata 27 zilizopo ndani ya mikoa 15 nchini umepeleka chereko CCM na majonzi Chadema.
11 years ago
Habarileo28 Feb
Madiwani waliohama Chadema waingia CCM
MADIWANI waliojiuzulu na kuamua kuondoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Sebastiani Peter na Zacharia Mfuko wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho.
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Madiwani wawili Chadema wahamia CCM
Madiwani wawili wa Chadema kutoka Kata ya Ngokolo, Sebastian Peter na wa Kata ya Masekelo, Zacharia Mfuko zilizopo Shinyanga Mjini wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga CCM.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--R3fKLET-iI/Xu3dxUqeerI/AAAAAAALutw/LKZAKsY_FNwFdq8yv1fMcNLXOi-QAm9hACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.25%2BPM.jpeg)
CCM WILAYA YA ILALA YAVUNA MADIWANI SITA WA CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/--R3fKLET-iI/Xu3dxUqeerI/AAAAAAALutw/LKZAKsY_FNwFdq8yv1fMcNLXOi-QAm9hACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.25%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QUvQ_oXtZRQ/Xu3dxSEf_fI/AAAAAAALuto/L-OTHGcazcANnlwybKqiHiXU-VCRhVpNACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.39%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cDLnKVOBD3Q/Xu3dxRujq8I/AAAAAAALuts/2E6ZFnA3vxM7en-R4-2NMILdW2clKuaQQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.24.56%2BPM.jpeg)
Na Heri Shaaban
CHAMA CHA Mapinduzi CCM Wilaya ya Ilala kimepokea waliokuwa madiwani sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)TLP na ACT katika kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-fW3VeDRmc/XsKFXJho9ZI/AAAAAAALqqo/b9ySt1WXpkk9cmbZYFtt_cS_pQcoJGWIQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-16-17h44m38s345.png)
Chadema wadai kutostushwa na madiwani wao kutimkia CCM
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimesema hakijashtushwa na taarifa za Madiwani wao watatu wa wilaya ya Makete kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM kwa kuwa walishakuwa na taarifa za kuwa wamekuwa wakitishwa kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema kuwa licha ya madiwani hao kutotoa sababu hizo hadharani lakini kama chama kilishapata taarifa hizo kwa muda mrefu kwamba wamekuwa...
11 years ago
GPLBAADHI YA MATOKEO UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI LEO
CHADEMA WAMESHINDA: Sombetini Arusha, Kata ya Njombe Mjini, Kata ya Kiboriloni Kilimanjaro, Kata ya Partimbo na Kata ya Loolera zote za Kiteto! CCM WAMESHINDA: Kata ya Tungi Morogoro, Kata ya Kiomoni Tanga na Kata zote tatu za mkoa wa Iringa!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-esbi6gGa_9k/XkghNxY0xyI/AAAAAAACHqI/L64D059JACU0vLTA0XLRgQ_Xo1vQHdJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_194650_953.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s72-c/MAHAKAMANI.jpg)
CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s1600/MAHAKAMANI.jpg)
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania