Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aslay adai hajutii kumweka wazi mpenzi wake

Muimbaji wa Yamoto Band, Aslay amesema kumweka wazi mpenzi wake kumempunguzia usumbufu kwa kiasi kikubwa. Aslay akiwa na mpenzi wake Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alitumia njia hiyo ili kuwapunguza wasichana waliokuwa wakimnyemelea. “Unajua sisi ni public, wengi wanakuangalia kwa mtazamo tofauti, lakini kwa upande wangu uamuzi wa kumweka mpenzi wangu wazi kila mtu amjue kimenisaidia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

9 years ago

Bongo5

Aunty Ezekiel adai hajutii kuwa na Mose Iyobo

Aunt EzekielMuigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel amesema anajisikia fahari kuwa mpenzi na mzazi mwenzake na Mose Iyobo na kwamba hajutii kuwa naye. Aunty ambaye alipanda kwenye jukwaa katika show ya Diamond na Wizkid weekend iliyopita na kumtunza Moses ambaye ni dancer wa hitmaker huyo, ameiambia Bongo5 kuwa anampenda mpenzi wake ndio maana anamsupport katika kila anachokifanya. […]

 

9 years ago

Bongo5

Akon adai hajutii kuacha kumsainisha Drake kwenye label yake alipotambulishwa kwake mwaka 2005

Kama angemwelewa vyema, leo hii Drake angekuwa msanii wa Akon kupitia label yake ya Konvict Music, lakini hakushawishiwa na uwezo wake kipindi hicho. Ilikuwa ni mwaka 2005 pindi rapper wa Canada, Kardinal Offishall alimpompelekea Akon nyimbo za Drake kuona kama anaweza kumchukua. Hata hivyo Akon hakukikubali kipaji cha Drake kama alivyovutiwa na T-Pain na Lady […]

 

10 years ago

Bongo5

Aslay adai Yamoto Band haiwezi kushuka kwasababu wamejipanga kikamilifu

Msanii wa muziki kutoka Yamoto Band, Aslay amesema wamejipanga vizuri kwenye Band kuhakikisha hawadondoki na kupotea kwenye game ya muziki. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa kama msanii utaweza kujipanga kikamilifu kwenye kazi ya muziki ni vigumu kushuka. “Mkiwa vizuri na mnashukuru mwenyezi Mungu itakuwa vigumu kuanguka sisi kama Yamoto Band, ukiangalia kuanzia kwenye uongozi na wasanii […]

 

9 years ago

Bongo5

Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake

Muibaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka aliyefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni, amesema mafaniko aliyopata katika muziki wake yametokana na mama yake. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa mama yake ndio alikuwa akimsihi na kumtia moyo katika muziki wake. “Wakati naanza muziki kabisa nafikiri mama yangu ndio alikuwa ani-support kwa kusema ‘mwanangu nenda huku […]

 

9 years ago

Mtanzania

HUDDAH AMUWEKA WAZI MPENZI MWINGINE

Huddah-Monroe-Image-from-izvipi-533x600NAIROBI, KENYA

MREMBO ambaye hakauki kwenye vyombo vya habari nchini Kenya, Huddah Monroe, kupitia akaunti yake ya
Instagram, amemuweka wazi mpenzi wake mpya.

Huyo atakuwa mpenzi wake wa pili kumtambulisha mwaka huu, hivyo aonekana kuwa hawezi kudumu na mwanaume kwa muda mrefu tangu alipoachana na mkali wa kupiga pamba nchini humo CMB Prezzo.

Huddah aliandika: “Mwanaume mwenye mapenzi ya kweli anaweza kumbadilisha mwanamke mwenye tabia mbaya, hivyo nimerudi tena kwenye uhusiano na mwanaume...

 

10 years ago

Mwananchi

Shahidi adai alikuwa mpenzi wa mlalamikaji

Shahidi wa kwanza katika kesi ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii inayowakabili wakazi wawili wa Mbagala, ameieleza Mahakama kuwa alikuwa na uhusiano wa mapenzi na mlalamikaji kwa kipindi cha miaka saba,

 

11 years ago

Dewji Blog

David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo

article-2690667-1F9E2D9C00000578-470_964x755

Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.

article-2690667-1F9D901500000578-575_964x642

Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.

article-2690667-1F9D9B6700000578-945_964x663

Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.

article-2690667-1F9D90A100000578-712_964x635

Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...

 

11 years ago

Bongo Movies

SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.


Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.

Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.

“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani