HUDDAH AMUWEKA WAZI MPENZI MWINGINE
NAIROBI, KENYA
MREMBO ambaye hakauki kwenye vyombo vya habari nchini Kenya, Huddah Monroe, kupitia akaunti yake ya
Instagram, amemuweka wazi mpenzi wake mpya.
Huyo atakuwa mpenzi wake wa pili kumtambulisha mwaka huu, hivyo aonekana kuwa hawezi kudumu na mwanaume kwa muda mrefu tangu alipoachana na mkali wa kupiga pamba nchini humo CMB Prezzo.
Huddah aliandika: “Mwanaume mwenye mapenzi ya kweli anaweza kumbadilisha mwanamke mwenye tabia mbaya, hivyo nimerudi tena kwenye uhusiano na mwanaume...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Jan
Huddah amkana mwanaume aliyedai kuwa mpenzi wake, aliyemtangazia Diamond dau la $40,000 ili amuache Zari
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhNuvgnTwZ2*AN7R1kp35LO21bdOmYYBD4u6ElgJUaVTiTbDCiNLGPzGdwMTjqI1K30gDflJ8seSLljtFud2xITH/MAHABA.jpg?width=650)
USITOE THAMANI YA MPENZI WAKO KWA MWINGINE!
9 years ago
Bongo517 Aug
Aslay adai hajutii kumweka wazi mpenzi wake
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q5QNsAw9eJI/default.jpg)