Maneno Mazito ya Mhe. Lowassa alipojiuzulu!
![](http://img.youtube.com/vi/_1olCv3efuA/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Sep
Mh.Lowassa alipojiuzulu majibu kwa Sita
http://m.youtube.com/results?q=lowassa%20alipojiuzulu&sm=3
The post Mh.Lowassa alipojiuzulu majibu kwa Sita appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jac_mO-hpH4/XuDobazVvCI/AAAAAAALtYU/Guukt9DT4HgCZAM1fXDIr1xejKEHbP3CwCLcBGAsYHQ/s72-c/molinga%252Bpic.jpg)
BAADA YA KIKOSI CHA YANGA KUONDOKA BILA MSHAMBULIAJI DAVID MOLINGA MAPYA YAIBUBA,ATOA MANENO MAZITO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jac_mO-hpH4/XuDobazVvCI/AAAAAAALtYU/Guukt9DT4HgCZAM1fXDIr1xejKEHbP3CwCLcBGAsYHQ/s640/molinga%252Bpic.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
NAONDOKA Yanga!Hiyo ni kauli ya Mshambuliaji wa timu ya Yanga David Molinga 'Falcao' amesema baada ya mkataba wake ambao umbakia miezi miwili kuanzia sasa ataondoka katika kikosi hicho huku akitoa tuhuma kwa Kocha Msadizi wa timu hiyo Boniface Mkwasa kuwa hampendi.
Molinga aameeleza hayo leo Juni 10,mwaka 2020 wakati akihojiwa na watangazaji wa kipindi cha Sports Arena kinachorushwa na Wasafi FM ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua mambo mbalimbali yanayomhusu yeye...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4EKRhjguyIM/default.jpg)
9 years ago
VijimamboLowassa ashangiliwa kama Rais, Mbowe anena mazito.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AFUNGUKA MAZITO..ASEMA LIST HII YA VIONGOZI HAWA SITOWAACHA!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s640/1.jpg)
KIAMA kwa Viongozi hawa na hakika neema inakuja!Mgombea urais wa UKAWA Mh Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataunda serikali itakayokuwa na viongozi wenye uwezo wa kuchukua hatua na kutatua matatizo ya wananchi na atahakikisha utaratibu wa wananchi kulalamika na viongozi pia kulalamikakama ilivyo sasa unabaki kuwa historia.Mh Lowassa ambaye amefanya mikutano minne katika majimbo ya Mtera, Bahi Chilonwa na Dodoma mjini pia amewaomba watanzania kumpa nafasi ya...
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Dr. Slaa ameibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema mambo mazito kuhusu Lowassa.
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Wilbroad-Slaa-620x368.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-01.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-02.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-03.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-04.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-05.jpg)
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Edward Lowassa kaweka hizi picha 3 akichunga Ngo’mbe alafu akaandika haya maneno 46
Edward Lowassa ambaye alikua mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 kupitia tikect ya CHADEMA, ameziweka hizi picha zake tatu akichunga Ng’ombe kisha akaandika haya maneno hapa chini. >> ‘Ndugu zangu,naendelea kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Nikiwa shambani kwangu Mzeri, Handeni nikichunga mifugo yangu naona miujiza ya Mungu ikitendeka. Mazingira ya asili ni zawadi […]
The post Edward Lowassa kaweka hizi picha 3 akichunga Ngo’mbe alafu akaandika haya maneno 46 appeared...