Kura tu, maneno, kelele havitupeleki Ikulu-Lowassa
![](http://img.youtube.com/vi/4EKRhjguyIM/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrVwLh6wM3j9mKWVSFyAlE3VLmTVD-LVxlKIfP7dcoRuXTtbllnUC95bbJuxZGJ17LXpeqmjqk4bsctRAdxyxa8C/Mnyikakuchangiakabla.jpg)
KIMENUKA BUNGENI; WABUNGE WAPIGA KELELE WAKITAKA MAJIBU KURA YA MAONI
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_1olCv3efuA/default.jpg)
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Maneno ya Masanja Baada ya Kushindwa Kura za Maoni Ludewa..
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura
Hatimaye uchaguzi umemalizika!
Kitila Mkumbo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Edward Lowassa kaweka hizi picha 3 akichunga Ngo’mbe alafu akaandika haya maneno 46
Edward Lowassa ambaye alikua mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 kupitia tikect ya CHADEMA, ameziweka hizi picha zake tatu akichunga Ng’ombe kisha akaandika haya maneno hapa chini. >> ‘Ndugu zangu,naendelea kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Nikiwa shambani kwangu Mzeri, Handeni nikichunga mifugo yangu naona miujiza ya Mungu ikitendeka. Mazingira ya asili ni zawadi […]
The post Edward Lowassa kaweka hizi picha 3 akichunga Ngo’mbe alafu akaandika haya maneno 46 appeared...
9 years ago
Mtanzania24 Oct
Mikakati 16 Ikulu ya Lowassa
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ametaja mambo manne ya msingi na mengine 16 atakayoshughulikia endapo atachaguliwa katika uchaguzi utakaofanyika kesho, huku akitoa jibu juu ya vilio vya Watanzania alivyovishuhudia wakati wa kampeni akisema: ‘Nimeona, nimesikia, nimeelewa na nitatenda’.
Akihutubia Taifa kwa njia ya televisheni, redio na hotuba yake kusambazwa katika mitandao ya intaneti jana jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.