SHABIKI HUYU WA NDONDO CUP ANENA YA MOYONI
![](http://img.youtube.com/vi/oJmyHWQMGPc/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s72-c/mwandosya.jpg)
PROFESA MWANDOSYA ANENA YA MOYONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s640/mwandosya.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Mama yake IGP Mangu anena ya moyoni
>Mama Mzazi wa Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, Mwanaidi Msengi, amemsihi mwanawe kufanya kazi kwa bidii asimwangushe Rais Jakaya Kikwete ili asije kujutia kumpa nafasi hiyo.
9 years ago
Vijimambo25 Aug
Sasha anena ya moyoni: Uchaguzi Mkuu 2015 Lowassa Vs Dr. Magufuli
Nyie watu achene kufata mkumbo. Urais haujaribiwi. Eti tuwape miaka 5 Ukawa wakichemsha hatuwachagui tena!!! Ujinga gani huu Watanzania wenzangu? Tunajaribu kiti cha Urais. Hatuna uhakika na uchaguzi wetu tunatest zali!!! ONLY IN TZ.
Mara ooh Lowassa atadhibitiwa na viongozi mahiri wa Chadema/UKAWA!!! — nani pale unamuona anaweza kumwambia kitu Lowassa??? Mbowe? Mbatia? Lissu? Mnyika?? HAKUNA ATAEWEZA/ANAEWEZA KUMWAMBIA LOWASSA CHOCHOTE NDANI YA UKAWA. ATAFANYA ATACHOJISKIA, MSIDANGANYIKE....
Mara ooh Lowassa atadhibitiwa na viongozi mahiri wa Chadema/UKAWA!!! — nani pale unamuona anaweza kumwambia kitu Lowassa??? Mbowe? Mbatia? Lissu? Mnyika?? HAKUNA ATAEWEZA/ANAEWEZA KUMWAMBIA LOWASSA CHOCHOTE NDANI YA UKAWA. ATAFANYA ATACHOJISKIA, MSIDANGANYIKE....
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1-001.jpg)
FAINALI NDONDO CUP
Kikosi cha Kauzu FC katika ubora wake. Kikosi cha Faru Jeuri. Mmoja wa mashabiki ambaye alikuwa hajui hata majina ya timu zilizokuwa zikicheza. Chibuku na viroba vya pombe kali ilikuwa ndio mpango mzima. Mashabiki wa Kauzu FC, wakati wa mapumziko.…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-AILYsiV8E8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HUj2p6OfWUA/VTfsnowZ6xI/AAAAAAAHSpQ/67hA4GASeKo/s72-c/download.jpg)
NDONDO CUP YANUKIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HUj2p6OfWUA/VTfsnowZ6xI/AAAAAAAHSpQ/67hA4GASeKo/s1600/download.jpg)
Lengo la michuano hiyo ni kuwakutanisha wapenda soka mkoa wa Arusha pamoja na kuwapa nafasi wa mashabiki wa mchezo huo Mkoani hapa kukutana sehemu moja.
Michuano hii itaanza kutimua vumbi siku ya Ijumaa ya tarehe 24/04/2015 na kufika tamati siku ya jumapili.Mshindi wa kwanza katika michuano hii atapata zawadi ya fedha taslimu shilingi laki tano (500,000)...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/D4CT9AA2ZG8/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwNf3VppKrJu1K*4JaEF9g4cEupaRmt1i-FJwn**O7KncbsDGL7z-akBbEw1o2*k87v9RzGc7UbYfb39lsZlU8B1/baadhiyawawakilishiwatimuzitakazoshirikimashindanohayo.jpg?width=650)
SPORTS EXTRA NDONDO CUP YAPIGWA KALENDA
Baadhi ya wawakilishi wa timu zitakazoshiriki mashindano hayo wakimsikiliza mmoja wa wawakilishi wa waandaaji, Alex Lwambano. Wawakilishi wa waandaaji wa mashindano hayo kutoka kushoto: Said Pambalelo, Yahya Mohammed na Alex Lwambano wakijadiliana jambo.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tm-JGzm9ycQ/VUEKoJX2s9I/AAAAAAAC3yg/ziliOytnw00/s72-c/1.jpg)
TIMU YA NYOTA FC YANYAKUA KOMBE LA NDONDO CUP
Ashura Mohamed-Arusha
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania