TIMU YA NYOTA FC YANYAKUA KOMBE LA NDONDO CUP
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tm-JGzm9ycQ/VUEKoJX2s9I/AAAAAAAC3yg/ziliOytnw00/s72-c/1.jpg)
Ashura Mohamed-Arusha
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-elsso1LrP00/VZ2GK1KjFII/AAAAAAAHn24/jMPGf8NLdfc/s72-c/unnamede.jpg)
FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM YANYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP
![](http://3.bp.blogspot.com/-elsso1LrP00/VZ2GK1KjFII/AAAAAAAHn24/jMPGf8NLdfc/s640/unnamede.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-anSBM0X3Jdk/VZ2GNgc3RmI/AAAAAAAHn3A/JZjCBUoR6dc/s640/unnamedg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xt_bU2mRr0c/VZ2GSgpQt-I/AAAAAAAHn3Q/qFK4_o9ynv4/s640/unnamedb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQ1ppVaZXxg/VZ2GStgVHzI/AAAAAAAHn3M/bQ_KfI9r8Ms/s640/unnamedc.jpg)
10 years ago
MichuziTimu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika
10 years ago
VijimamboTimu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup
10 years ago
MichuziTimu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup Unguja
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1-001.jpg)
FAINALI NDONDO CUP
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-AILYsiV8E8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s72-c/tt.jpg)
TANZANIA BOYS YANYAKUA KOMBE LA MIAKA 40 YA MSUMBIJI JIJINI MAPUTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s640/tt.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HUj2p6OfWUA/VTfsnowZ6xI/AAAAAAAHSpQ/67hA4GASeKo/s72-c/download.jpg)
NDONDO CUP YANUKIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HUj2p6OfWUA/VTfsnowZ6xI/AAAAAAAHSpQ/67hA4GASeKo/s1600/download.jpg)
Lengo la michuano hiyo ni kuwakutanisha wapenda soka mkoa wa Arusha pamoja na kuwapa nafasi wa mashabiki wa mchezo huo Mkoani hapa kukutana sehemu moja.
Michuano hii itaanza kutimua vumbi siku ya Ijumaa ya tarehe 24/04/2015 na kufika tamati siku ya jumapili.Mshindi wa kwanza katika michuano hii atapata zawadi ya fedha taslimu shilingi laki tano (500,000)...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/D4CT9AA2ZG8/default.jpg)