FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM YANYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP
![](http://3.bp.blogspot.com/-elsso1LrP00/VZ2GK1KjFII/AAAAAAAHn24/jMPGf8NLdfc/s72-c/unnamede.jpg)
TIMU BORA YA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM IMEFANIKIWA KUNYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP, LILILOMALIZIKA JUMAPILI JULAI 5, 2015 BAADA YA KUSHINDA MECHI ZAKE ZOTE NANE KATIKA VIWANJA VYA KÄRRTOP IP JIJINI STOCKHOLM. Kikosi cha Kilimanjaro kikipasha kabla ya mechi kuanza.
Wapinzani wa Fc Kilimanjaro ktk semi final.
Makapteni wasaidizi wa Fc Kilimanjaro Jamil Jabeer na Ahmed Daddy wakiwa pamoja na mchezaji veteran Andrew Dudley.
Kapteni msaidizi Jamil Jabeer akipozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tm-JGzm9ycQ/VUEKoJX2s9I/AAAAAAAC3yg/ziliOytnw00/s72-c/1.jpg)
TIMU YA NYOTA FC YANYAKUA KOMBE LA NDONDO CUP
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s72-c/tt.jpg)
TANZANIA BOYS YANYAKUA KOMBE LA MIAKA 40 YA MSUMBIJI JIJINI MAPUTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s640/tt.jpg)
11 years ago
MichuziUTUMISHI YANYAKUA KOMBE KUPITIA MPIRA WA PETE MASHINDANO YA MEI MOSI 2014
Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma imetawazwa rasmi kuwa bingwa wa mpira wa Pete wa Mashindano ya Mei Mosi 2014.
Utumishi imefanikiwa kuwa bingwa baada ya kuisambaratisha timu ya Wizara ya Uchukuzi kwa ushindi wa magoli 33 dhidi ya 21. Mchezo huo wa fainali ulifanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Katika mchezo huo mchezaji Fatuma Machenga (GS) wa Ofisi ya Rais Utumishi ndiye aliyekua tishio kwa kuongoza wachezaji wa timu yake kufanikisha ushindi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HgkUUh4YM3c/VSpOYh-kGWI/AAAAAAAHQn8/s1UH-ttor38/s72-c/DSC_0454.jpg)
FC KILIMANJARO YAWABAMIZA WATANI WA JADI KENYA 6-1 KWENYE MECHI MAALUM YA AMANI NA UPENDO JIJINI STOCKHOLM, SWEDEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgkUUh4YM3c/VSpOYh-kGWI/AAAAAAAHQn8/s1UH-ttor38/s1600/DSC_0454.jpg)
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...
10 years ago
MichuziTimu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mperani FC yanyakua ubingwa wa Kamanda Cup kata ya Kindai Singida kwa kuitandika Munangi mabao 2-0 katika fainali
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Singida, Rehema Sombi akimkabidhi Nahodha wa timu ya Soka ya Mperani Fc Maiko Manase Kombe la ubingwa pamoja fedha taslimu shilingi laki moja, Kamanda Cup Kata ya Kindai iliyoandaliwa na Kamanda wa UVCCM wa Kata hiyo Omary Kinyeto.
Na Hillary Shoo, Singida.
TIMU ya soka ya Mperani Fc ya Kata ya Kindai Manispaa ya Singida imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kamanda baada ya kuichapa timu ya Singida Munangi mabao 2-0.
Katika mchezo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Oy1fkWJyAk/VCYyNLzOfmI/AAAAAAAGmGU/UI5aB3BAI9A/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Boda Boda FC ya Karatu yanyakua kombe la virutubishi
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Oy1fkWJyAk/VCYyNLzOfmI/AAAAAAAGmGU/UI5aB3BAI9A/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
Mechi hiyo ambayo ilichezwa katika uwanja wa Bondeni chini ya udhamini wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Tanga yainyuka Kilimanjaro kombe la Taifa
9 years ago
Michuzi07 Dec
Fella Akabidhi Kombe kwa Mshidi wa Mpinga Cup, Temeke
![_DSC0018](http://harakatizabongo.com/wp-content/uploads/2015/12/DSC0018.jpg)
Hivyo mshindi wa kwanza katika fainali hizo alijinyakulia Ng'ombe mzima, huku Mshindi wa pili Oxford alizawadiwa Mbuzi na mshindi wa tatu Kazembe boys wamechukua Jezi pea moja.
Mgeni rasmi katika fainali...