Tanga yainyuka Kilimanjaro kombe la Taifa
Timu ya Mkoa wa Tanga imeichapa Kilimanjaro 2-0 katika mchezo wa kusaka vipaji uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Jul
KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA
>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPLYANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA: YAINYUKA JKT RUVU 5-1
Mrisho Ngasa (kulia) na Frank Domayo wakishangilia ushindi wa leo. Didier Kavumbagu wa Yanga akijaribu kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-elsso1LrP00/VZ2GK1KjFII/AAAAAAAHn24/jMPGf8NLdfc/s72-c/unnamede.jpg)
FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM YANYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP
TIMU BORA YA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM IMEFANIKIWA KUNYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP, LILILOMALIZIKA JUMAPILI JULAI 5, 2015 BAADA YA KUSHINDA MECHI ZAKE ZOTE NANE KATIKA VIWANJA VYA KÄRRTOP IP JIJINI STOCKHOLM.
Kikosi cha Kilimanjaro kikipasha kabla ya mechi kuanza.
Wapinzani wa Fc Kilimanjaro ktk semi final.
Makapteni wasaidizi wa Fc Kilimanjaro Jamil Jabeer na Ahmed Daddy wakiwa pamoja na mchezaji veteran Andrew Dudley.
Kapteni msaidizi Jamil Jabeer akipozi...
![](http://3.bp.blogspot.com/-elsso1LrP00/VZ2GK1KjFII/AAAAAAAHn24/jMPGf8NLdfc/s640/unnamede.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-anSBM0X3Jdk/VZ2GNgc3RmI/AAAAAAAHn3A/JZjCBUoR6dc/s640/unnamedg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xt_bU2mRr0c/VZ2GSgpQt-I/AAAAAAAHn3Q/qFK4_o9ynv4/s640/unnamedb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQ1ppVaZXxg/VZ2GStgVHzI/AAAAAAAHn3M/bQ_KfI9r8Ms/s640/unnamedc.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Jan
Mtuhumiwa wa milipuko Kilimanjaro Express kukabidhiwa Tanga leo
MKAZI wa mtaa wa Kitianjala mkoani Arusha, Efatar Molel (45) anatarajiwa kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga leo(kesho) kwa tuhuma za kusafirisha milipuko isivyo halali.
10 years ago
VijimamboRATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA
10 years ago
CloudsFM27 Apr
Yanga kunyakua kombe leo Taifa?
Katibu Mkuu wa Yanga, Dk. Jonas Tiboroha alisema kuwa wameandaa champagne na jezi za kutosha kwa ajili ya kusherehesha ubingwa huo kama watautwaa leo.
“Tunajua umuhimu wa mchezo huo (Polisi Moro) ambao utakuwa mgumu kutokana na wapinzani wetu kuwa kwenye hatari ya...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
‘Taifa Queens itacheza Kombe la Dunia’
Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anna Kibira amesema ana imani timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) itafuzu kucheza Kombe la Dunia mwakani.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Nusu fainali Kombe la Taifa kesho
>Wenyeji Temeke kesho watafungua pazia dhidi ya Kinondoni katika nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Kombe la Taifa ya netiboli inayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Vijimambo22 Aug
AZAM NA YANGA TAIFA LEO KOMBE LA NGAO
![](http://www.timesfm.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/Azam-Na-Yanga.jpg)
Mpaka sasa ni 0-0 mpira ni mapumziko
Washambuliaji wa Yanga Saimon Msuva, Donald Ngoma raia wa Botoswana na Vicent Bossou raia wa Mali wanaitetekisha ngome ya Azam kila Mara kutokana na mashambulizi ya Mara Kwa Mara kutoka Kwa winga wao Kijana mdogo Geofrey Mwashiuya. Yanga kipindi cha kwanza walitoa mashambulizi kutoka upande wa Kusin kenda kaskazini kipindi cha pili Yanga watatoa mashambulizi kutoka kaskazini kwenda Kusin, historian ya uwanja huu wa Taifa goli la upande wa kusini uwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania