Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanga yainyuka Kilimanjaro kombe la Taifa

Timu ya Mkoa wa Tanga imeichapa Kilimanjaro 2-0 katika mchezo wa kusaka vipaji uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA

>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA: YAINYUKA JKT RUVU 5-1

Mrisho Ngasa (kulia) na Frank Domayo wakishangilia ushindi wa leo. Didier Kavumbagu wa Yanga akijaribu kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.…

 

10 years ago

Michuzi

FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM YANYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP

TIMU BORA YA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI FC KILIMANJARO YA STOCKHOLM IMEFANIKIWA KUNYAKUA KOMBE LA NATIONAL CUP, LILILOMALIZIKA  JUMAPILI JULAI 5, 2015 BAADA YA KUSHINDA MECHI ZAKE ZOTE NANE KATIKA VIWANJA VYA KÄRRTOP IP JIJINI STOCKHOLM.  Kikosi cha Kilimanjaro kikipasha kabla ya mechi kuanza. Wapinzani wa Fc Kilimanjaro ktk semi final.Makapteni wasaidizi wa Fc Kilimanjaro Jamil Jabeer na Ahmed Daddy wakiwa pamoja na mchezaji veteran Andrew  Dudley.  Kapteni msaidizi Jamil Jabeer akipozi...

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa wa milipuko Kilimanjaro Express kukabidhiwa Tanga leo

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Juma NdakiMKAZI wa mtaa wa Kitianjala mkoani Arusha, Efatar Molel (45) anatarajiwa kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga leo(kesho) kwa tuhuma za kusafirisha milipuko isivyo halali.

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA



 Rais Wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mh Jamal Malinzi akizungumza na wanahabari leo katika ofisi za TFF kuhusu kampuni ya Proin Promotions ltd kudhamini Mashindano ya mpira wa miguu kwa wanawake yajulikanayo kama Kombe la Wanawake Taifa, mashindano hayo yanatarajiwa kuanza tarehe 28 Disemba kwa kushirikisha timu kutoka Mikoa yote ya Tanzania. Mashindano hayo yatazinduliwa Mkoani Mwanza kwa kuzikutanisha timu za Mwanza na Mara. Kushoto kwa rais wa TFF ni Rose Kissiwa ambae ni...

 

10 years ago

CloudsFM

Yanga kunyakua kombe leo Taifa?

Yanga inashuka kwenye Uwanja wa Taifa leo jijini hapa ikisaka pointi tatu dhidi ya Polisi Moro zitakazowafanya kufikisha pointi 55 ambazo hazitaweza kufikiwa na mabingwa watetezi Azam FC wenye pointi 45 katika nafasi ya pili.
Katibu Mkuu wa Yanga, Dk. Jonas Tiboroha alisema kuwa wameandaa champagne na jezi za kutosha kwa ajili ya kusherehesha ubingwa huo kama watautwaa leo.

“Tunajua umuhimu wa mchezo huo (Polisi Moro) ambao utakuwa mgumu kutokana na wapinzani wetu kuwa kwenye hatari ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Taifa Queens itacheza Kombe la Dunia’

Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anna Kibira amesema ana imani timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) itafuzu kucheza Kombe la Dunia mwakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Nusu fainali Kombe la Taifa kesho

>Wenyeji Temeke kesho watafungua pazia dhidi ya Kinondoni katika nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Kombe la Taifa ya netiboli inayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

AZAM NA YANGA TAIFA LEO KOMBE LA NGAO


Mpaka sasa ni 0-0 mpira ni mapumziko
Washambuliaji wa Yanga Saimon Msuva, Donald Ngoma raia wa Botoswana na Vicent Bossou raia wa Mali wanaitetekisha ngome ya Azam kila Mara kutokana na mashambulizi ya Mara Kwa Mara kutoka Kwa winga wao Kijana mdogo Geofrey Mwashiuya. Yanga kipindi cha kwanza walitoa mashambulizi kutoka upande wa Kusin kenda kaskazini kipindi cha pili Yanga watatoa mashambulizi kutoka kaskazini kwenda Kusin, historian ya uwanja huu wa Taifa goli la upande wa kusini uwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani