Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtuhumiwa wa milipuko Kilimanjaro Express kukabidhiwa Tanga leo

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Juma NdakiMKAZI wa mtaa wa Kitianjala mkoani Arusha, Efatar Molel (45) anatarajiwa kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga leo(kesho) kwa tuhuma za kusafirisha milipuko isivyo halali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BASI LA KLM EXPRESS LAKAMATWA BAADA YA KUSAFIRISHA SHEHENA YA MILIPUKO ENEO LA KOROGWE

Milipuko hiyo baada ya kukamatwa mchana huu ikiwa ndani ya boksiKuna shehena kubwa ya milipuko ya hatari inayotumika kutengenezea Mabomu ya Kuvulia samaki na kutengenezea milipuko ya kupasulia miamba migumu imekamatwa eneo la Korogwe mchana huu wakati wa Jeshi la Polisi walipokamata Basi la KLM EXP lenye usajili wa namba T491 ARB kwa ajili ya Ukaguzi. Milipuko hiyo ambayo imesafirishwa kwa njia ambayo sio sahihi kutokana na hatari yake ya kuwa kulikuwa na abiria na kama Basi Lingetingishika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Raia wa Nigeria wakutwa na milipuko Tanga

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu wakiwemo raia wawili wa Nigeria kwa kosa la kukutwa na milipuko nane waliyokuwa wameihifadhi nyumbani kwa mwenyeji wao aliyejulikana kwa jina moja...

 

10 years ago

GPL

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA

Muonekano wa basi la Dar Express lenye namba za usajili T640 AXL linalofanya safari zake Kati ya Dar na Rombo baada ya kupata ajali jana jioni eneo la Marangu, Mamba mkoani Kilimanjaro .…

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO ALHAMISI OCT 9, 2014


Wananchi wakiwa eneo la tukio muda mfupi baada ya basi la Dar Express kupata ajali.
Muonekano wa basi la Dar Express lenye namba za usajili T640 AXL linalofanya safari zake Kati ya Dar na Rombo baada ya kupata ajali jana jioni eneo la Marangu, Mamba mkoani Kilimanjaro.

(PICHA NA MTANDAO)

 

9 years ago

StarTV

Polisi mkoani Kilimanjaro yamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya kikatili

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya Kinyama aliyefahamika kwa jina moja la Edward baada ya kuwaua  kwa kuwakata mapanga na shoka  watoto wake wawili pamoja na mke wake Janeth Lazaro katika Kijiji cha Koboko Wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Fulgence Ngonyani amesema  mtuhumiwa amefanya unyama huo majira ya saa nane usiku  na kutokomea kusikojulikana .

Majina ya Watoto waliouawa ni Glory Edward , Caren Edward...

 

11 years ago

Michuzi

Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga


Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga. 
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...

 

10 years ago

Habarileo

JK kukabidhiwa Katiba leo

HISTORIA inaandikwa nchini kutokana na kukamilika kwa sehemu kubwa ya mchakato wa kutengeneza Katiba mpya kutokana na leo Katiba Inayopendekezwa kukabidhiwa kwa Rais kabla ya ngwe ya mwisho ya kura ya maoni. Tukio hilo la kihistoria linafanyika mjini Dodoma likitarajiwa kuhudhuriwa na watu wa kada tofauti wakiwamo mabalozi wa nchi karibu zote ambao wamealikwa.

 

10 years ago

Habarileo

Spika kukabidhiwa ripoti ya IPTL leo

BAADA ya vuta nikuvute, hatimaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda atakabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu fedha za Akaunti ya Escrow kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, Dodoma leo.

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA RUKWA ALIYEHAMISHWA KUTOKA TANGA MAGALULA SAID MAGALULA AWASILI MKOANI RUKWA NA KUKABIDHIWA RASMI OFISI YAKE MPYA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliyehamishwa kutoka Tanga Mhe. Magalula Said Magalula (katikati) akisalimiana na watumishi wa ofisi yake mpya waliokusanyika kumpokea rasmi nje ya jengo la ofisi hiyo jana tarehe 22 Septemba 2015.Mkuu Mpya wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Magalula Said Magalula kulia na Katibu Tawala Mkoa huo Ndugu Smythies Pangisa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliyemaliza muda wake Eng. Stella Manyanya ambaye yupo kwenye harakati za kugombea Ubunge Jimbo la Nyasa wakisaini nyaraka za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani