Mtuhumiwa wa milipuko Kilimanjaro Express kukabidhiwa Tanga leo
MKAZI wa mtaa wa Kitianjala mkoani Arusha, Efatar Molel (45) anatarajiwa kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga leo(kesho) kwa tuhuma za kusafirisha milipuko isivyo halali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CxV6-HCmHBE/VLJkB6fa9PI/AAAAAAABCME/xsV69S8omTI/s72-c/IMG-20150111-WA0021.jpg)
BASI LA KLM EXPRESS LAKAMATWA BAADA YA KUSAFIRISHA SHEHENA YA MILIPUKO ENEO LA KOROGWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-CxV6-HCmHBE/VLJkB6fa9PI/AAAAAAABCME/xsV69S8omTI/s640/IMG-20150111-WA0021.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Raia wa Nigeria wakutwa na milipuko Tanga
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu wakiwemo raia wawili wa Nigeria kwa kosa la kukutwa na milipuko nane waliyokuwa wameihifadhi nyumbani kwa mwenyeji wao aliyejulikana kwa jina moja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu130WcHQvjqrWzNntNhYBcnL0-mAckNyVQ752Lg9ZlMBRoEvA0BDrLxBR47bvrAlINtboc0atdQWCZvP4FcpQ3L/IMG20141008WA0010.jpg?width=650)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA
10 years ago
Vijimambo10 Oct
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO ALHAMISI OCT 9, 2014
![](http://api.ning.com/files/2VGrzzXedu2-01rs9n2v1v0y4xm8BqdMetw-rE2kHpb-E63uNAyTlF7jS48OyTxgK*3JDwheHEmV7IuUqGZOTRP-tBkzxLbm/h.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/2VGrzzXedu130WcHQvjqrWzNntNhYBcnL0-mAckNyVQ752Lg9ZlMBRoEvA0BDrLxBR47bvrAlINtboc0atdQWCZvP4FcpQ3L/IMG20141008WA0010.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/2VGrzzXedu2gvPsfPFh1GhLKBfaxGQdm2brf09hpv4Zu2T15EFBdvSnmFK092loNvXnCDSbzUaO7M5bksaS-Fe460J7tPKZg/IMG20141008WA0012.jpg)
(PICHA NA MTANDAO)
9 years ago
StarTV17 Nov
Polisi mkoani Kilimanjaro yamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya kikatili
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya Kinyama aliyefahamika kwa jina moja la Edward baada ya kuwaua kwa kuwakata mapanga na shoka watoto wake wawili pamoja na mke wake Janeth Lazaro katika Kijiji cha Koboko Wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Fulgence Ngonyani amesema mtuhumiwa amefanya unyama huo majira ya saa nane usiku na kutokomea kusikojulikana .
Majina ya Watoto waliouawa ni Glory Edward , Caren Edward...
11 years ago
Michuzi09 Feb
Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga
Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga.
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...
10 years ago
Habarileo08 Oct
JK kukabidhiwa Katiba leo
HISTORIA inaandikwa nchini kutokana na kukamilika kwa sehemu kubwa ya mchakato wa kutengeneza Katiba mpya kutokana na leo Katiba Inayopendekezwa kukabidhiwa kwa Rais kabla ya ngwe ya mwisho ya kura ya maoni. Tukio hilo la kihistoria linafanyika mjini Dodoma likitarajiwa kuhudhuriwa na watu wa kada tofauti wakiwamo mabalozi wa nchi karibu zote ambao wamealikwa.
10 years ago
Habarileo14 Nov
Spika kukabidhiwa ripoti ya IPTL leo
BAADA ya vuta nikuvute, hatimaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda atakabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu fedha za Akaunti ya Escrow kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, Dodoma leo.
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA RUKWA ALIYEHAMISHWA KUTOKA TANGA MAGALULA SAID MAGALULA AWASILI MKOANI RUKWA NA KUKABIDHIWA RASMI OFISI YAKE MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-g4u_oYmZck4/VgJZhl0tcEI/AAAAAAAAHJ0/2mocHSKsKhM/s640/DSC_4028.jpg)