BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA
Muonekano wa basi la Dar Express lenye namba za usajili T640 AXL linalofanya safari zake Kati ya Dar na Rombo baada ya kupata ajali jana jioni eneo la Marangu, Mamba mkoani Kilimanjaro .…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Oct
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO ALHAMISI OCT 9, 2014
Wananchi wakiwa eneo la tukio muda mfupi baada ya basi la Dar Express kupata ajali.
Muonekano wa basi la Dar Express lenye namba za usajili T640 AXL linalofanya safari zake Kati ya Dar na Rombo baada ya kupata ajali jana jioni eneo la Marangu, Mamba mkoani Kilimanjaro.
(PICHA NA MTANDAO)
10 years ago
GPLBASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA
11 years ago
GPLBASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI WAMI
11 years ago
MichuziBASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI
Bari mali ya kampuni ya Dar Express iliyokua ikitokea jijini Dar na kuelekea Jijini Nairobi,Nchini Kenya limepata ajali mapema leo asubuhi katika eneo la kijiji cha jirani na Mto Wami.Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana. Abiria wengi wamenusurika na kufanikiwa kutoka,japo kuna wachache ambao wamejeruhiwa.
10 years ago
VijimamboBASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...
10 years ago
GPLBASI LA ARUSHA EXPRESS LAPATA AJALI ARUSHA
10 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: BASI LA SIMIYU LILILOKUWA LINATOKEA MWANZA KWENDA DAR LAPATA AJALI MKOANI DODOMA
10 years ago
GPLBASI LA PRINCES MUNAA LAPATA AJALI DODOMA
10 years ago
Habarileo15 Mar
Basi la Osaka lapata ajali, mmoja ajeruhiwa
ABIRIA 57 wa basi la Osaka lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Dar es Salaam wamenusurika kifo baada ya basi hilo kugonga tela la lori lililokuwa limeegeshwa kutokana na kuwa bovu na kutumbukia mtaroni.