Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Basi la Osaka lapata ajali, mmoja ajeruhiwa

David Misime.ABIRIA 57 wa basi la Osaka lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Dar es Salaam wamenusurika kifo baada ya basi hilo kugonga tela la lori lililokuwa limeegeshwa kutokana na kuwa bovu na kutumbukia mtaroni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BASI LA AM COACH LAPATA AJALI IPULI NA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI MMOJA

Umati mkubwa wa watu ambao ulifiika kushuhudia ajali hiyo.
Askari Polisi Kitengo cha usalama barabarani wakiuchukua mwili wa mtoto…

 

11 years ago

Michuzi

basi la amani lapata ajali maeneo ya salanda mkoani tabora, mtoto mmoja afariki dunia

Basi la Amani Express likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali usku wa kuamkia leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa miaka mitatu amepoteza maisha na abiria kadhaa wamepata majeraha. Mashuhuda wanahisi kuwa  chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi. Pichani abiria wakitafuta vitu vyao  Abiria wakiendelea kutafuta vitu vyao Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali hiyo wakisubiri msaada wa usafiri Basi la Amani likiwa limepindukaKikosi kazi cha Michuzi TV kilicho...

 

10 years ago

GPL

BASI LA HAPPY NATION LAPATA AJALI MBEYA

Basi la Happy Nation maarufu kama Balotelli mtukutu lenye namba za usajili T 281 ARR likiwa limepata ajali maeneo ya Igurusi, Mbeya.…

 

10 years ago

GPL

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA

ZAIDI ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani leo.

 

11 years ago

GPL

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI WAMI

Zaidi ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar express lililokuwa linatoka Dar Es Salaam kwenda Nairobi kupinduka eneo la Msata karibu na daraja la Wami. Chanzo ni kupasuka kwa tairi la mbele la kushoto la basi hilo. Chanzo: Radio One Stereo

 

10 years ago

GPL

BASI LA PRINCES MUNAA LAPATA AJALI DODOMA

Gari la Princes Munaa lenye namba za usajili T183 CRW likiwa limepiga mweleka. Muda mfupi uliopita, kumetokea ajali ya Basi la Princes Munaa lililokuwa likitokea Jijini Dar es Salaam kwenda Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hii, watu kadhaa…

 

11 years ago

Michuzi

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI


Bari mali ya kampuni ya Dar Express iliyokua ikitokea jijini Dar na kuelekea Jijini Nairobi,Nchini Kenya limepata ajali mapema leo asubuhi katika eneo la kijiji cha jirani na Mto Wami.Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana. Abiria wengi wamenusurika na kufanikiwa kutoka,japo kuna wachache ambao wamejeruhiwa.

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking News: Basi la Luwinzo lapata ajali Mufindi

luwinzo (1) luwinzo (2)Ajali ilivyotokea mapema leo asubuhi.
luwinzo (4)Shughuli za kuwaokoa walionusurika na ajali.

AJALI mbaya imetokea leo asubuhi baada ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Njombe, kugongana na lori wakati basi hilo likiwa linatoka Njombe kuelekea Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Ajali imetokea katika eneo la Kinegembasi, Kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi mkoani Njombe.

 

11 years ago

Dewji Blog

Basi la AM Coach lapata ajali Simiyu na kujeruhi watatu

AJALI AM1

Na Mwandishi wetu

Watu watatu wamejeruhiwa vibaya katika ajali ya Basi la AM Coach iliyotokea katika kijiji cha Sayusayu wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu na kukimbizwa katika Hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza kwa matibabu zaidi.

 Abiria hao ni miongoni mwa abiria 54 waliokuwa katika Basi hilo lenye namba za Usajiri T607 AQN lililokuwa likitoka wilayani Meatu mkoani Simiyu kuelekea Jijini Mwanza.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu,Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa habari mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani