Basi la AM Coach lapata ajali Simiyu na kujeruhi watatu
Na Mwandishi wetu
Watu watatu wamejeruhiwa vibaya katika ajali ya Basi la AM Coach iliyotokea katika kijiji cha Sayusayu wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu na kukimbizwa katika Hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza kwa matibabu zaidi.
Abiria hao ni miongoni mwa abiria 54 waliokuwa katika Basi hilo lenye namba za Usajiri T607 AQN lililokuwa likitoka wilayani Meatu mkoani Simiyu kuelekea Jijini Mwanza.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu,Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa habari mjini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASI LA AM COACH LAPATA AJALI IPULI NA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI MMOJA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s0QqgCPNbIE/Va_kJ2rQoKI/AAAAAAABSfM/pRzSF9nVNwI/s72-c/photo_2015-07-22_21-38-46.jpg)
BREAKING NEWS: BASI LA SIMIYU LILILOKUWA LINATOKEA MWANZA KWENDA DAR LAPATA AJALI MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0QqgCPNbIE/Va_kJ2rQoKI/AAAAAAABSfM/pRzSF9nVNwI/s640/photo_2015-07-22_21-38-46.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Dec
LORI LILILOBEBA MAITI LAPATA AJALI, LAUA WATU 5 NA KUJERUHI WENGINE 36
Taarifa zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Bw. Ahmed Msangi zilieleza kuwa ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nane mchana katika mteremko wa Kanyegele, Kata ya Ntokela wilayani Rungwe.
Kamanda Msangi alisema lori hilo aina ya Mitsubishi Fuso yenye namba za usajili T143 ACR lilikuwa likitokea Ilemi...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa
Taswira kutoka eneo la ajali.
Takribani watu 12 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine 22 wakijeruhiwa baada ya basi la New Force kupata ajali leo eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.
Basi hilo lilikuwa likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam na limepata ajali mchana huu.
Jitihada za kuondoa miili na kusafirisha majeruhi kuwapeleka hospitali zinaendelea.
9 years ago
Habarileo16 Sep
Ajali basi la Metro yaua 5, kujeruhi 39
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 39 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Metro, kuacha njia, kutumbukia bondeni na kupinduka.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yjd9KAk173sw4MGf1*bdTF3opo*1UcMoSQrzdENAM-u8SeOpl-LVc9WwWnIJ4OTcDWTrPsK8Fl*G3xE752Q2CP8/attachment.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI WAMI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5NP8qF9Iiqts*gWYwjS1D4UDgg1L9lu9C6tJscSo0ZVXSk-1kk4ppvtCyrA8zLiGYFxwrLZ-BgcBeifyFohZvXg/DAREXPRESS.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmnrGbs9LVSamZopCcBa28uZkLiXV288EANqhvHpv-rgtIhWaNI31J61dCy6buyMtAtF9IN3LvRx0GixgZM8mA8p/IMG20141107WA0005.jpg)
BASI LA HAPPY NATION LAPATA AJALI MBEYA
10 years ago
GPLBASI LA PRINCES MUNAA LAPATA AJALI DODOMA