BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI WAMI

Zaidi ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar express lililokuwa linatoka Dar Es Salaam kwenda Nairobi kupinduka eneo la Msata karibu na daraja la Wami. Chanzo ni kupasuka kwa tairi la mbele la kushoto la basi hilo. Chanzo: Radio One Stereo
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI


10 years ago
GPL
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA
11 years ago
GPL
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA
11 years ago
Vijimambo10 Oct
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO ALHAMISI OCT 9, 2014



(PICHA NA MTANDAO)
10 years ago
Vijimambo
BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA

Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...
10 years ago
GPL
BASI LA ARUSHA EXPRESS LAPATA AJALI ARUSHA
10 years ago
Vijimambo
BREAKING NEWS: BASI LA SIMIYU LILILOKUWA LINATOKEA MWANZA KWENDA DAR LAPATA AJALI MKOANI DODOMA

10 years ago
GPLBASI LA PRINCES MUNAA LAPATA AJALI DODOMA
10 years ago
Habarileo15 Mar
Basi la Osaka lapata ajali, mmoja ajeruhiwa
ABIRIA 57 wa basi la Osaka lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Dar es Salaam wamenusurika kifo baada ya basi hilo kugonga tela la lori lililokuwa limeegeshwa kutokana na kuwa bovu na kutumbukia mtaroni.