Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Spika kukabidhiwa ripoti ya IPTL leo

BAADA ya vuta nikuvute, hatimaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda atakabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu fedha za Akaunti ya Escrow kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, Dodoma leo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ripoti IPTL yavuja

RIPOTI ya uchunguzi wa kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, zilizohifadhiwa kwenye Akaunti Maalum ya Escrow katika  Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inadaiwa kuvuja, Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamati yataka ripoti ya IPTL

KAMATI ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa sh. milioni 200 za IPTL katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza wiki hii, mkoani Dodoma. Akizungumza na...

 

11 years ago

Michuzi

Spika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) alipofika Ofisini kwake leo kwa ziara ya kikazi. Wengine ni baadhi ya Wabunge kutoka Bunge la Uholanzi alioambatana nao. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo Ofisni kwake na Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) pamoja na ujumbe wa wabunge wanane kutoka Bunge la uholanzi ambao wapo nchini kwa ziara ya kikazi.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

10 years ago

Habarileo

JK kukabidhiwa Katiba leo

HISTORIA inaandikwa nchini kutokana na kukamilika kwa sehemu kubwa ya mchakato wa kutengeneza Katiba mpya kutokana na leo Katiba Inayopendekezwa kukabidhiwa kwa Rais kabla ya ngwe ya mwisho ya kura ya maoni. Tukio hilo la kihistoria linafanyika mjini Dodoma likitarajiwa kuhudhuriwa na watu wa kada tofauti wakiwamo mabalozi wa nchi karibu zote ambao wamealikwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa wa milipuko Kilimanjaro Express kukabidhiwa Tanga leo

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Juma NdakiMKAZI wa mtaa wa Kitianjala mkoani Arusha, Efatar Molel (45) anatarajiwa kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga leo(kesho) kwa tuhuma za kusafirisha milipuko isivyo halali.

 

9 years ago

CCM Blog

VIDEO MBALIMBALI, WAKATI WA HAFLA YA DK. MAGUFULI NA MAMA SAMIA KUKABIDHIWA VYETI YAO VYA USHINDI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

1. Hafla ya kutangazwa rasmi mshindi wa urais 2015 kutokaa ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar Es Salaam; Washiriki wa mbio za urais wa vyama vya siasa pamoja na viongozi mbalimbali katika hafla za kutangazwa mshindi wa urais 2015; BOFYA HAPA 
2. MKurugenzi wa NEC Ramadhan Kailima akitoa tathmini ya mchakato wa uchaguzi mkuu mwaka 2015;
BOFYA HAPA 
3. Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu, Damian Lubuva akitoa taarifa za matokeo ya uchaguzi 2015 katika hafla ya kutangazwa mshindi wa urais 2015;
 BOFYA...

 

10 years ago

GPL

RIPOTI YA ESCROW, LEO NDIYO LEO

Wajumbe wa kamati wakiioitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani