Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIPOTI YA ESCROW, LEO NDIYO LEO

Wajumbe wa kamati wakiioitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ripoti ya GAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa Bungeni leo

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe Zitto Kabwe akisoma Ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (GAG) kuhusu akauti ya ESCROW Bungeni Mjini Dodoma leo.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Anne Makinda akifafanua jambo wakati akiendesha Bunge hilo leo mjini Dodoma.Baadhi ya wahudumu wa Bunge wakigawa Ripoti ya GAG kuhusu akauti ya ESCROW kwa WabungeWaheshimiwa Wabunge wakipitia ripoti ya GAG kwa makini wakati ikisomwa na Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

10 years ago

GPL

RIPOTI MAALUMU YA CAG KUHUSU AKAUNTI YA ESCROW YAKABIDHIWA KWA MWENYEKITI WA PAC LEO

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Kabwe na Kaimu wake Mh. Deo Filikunjombe,Bungeni mjini Dodoma leo. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti… ...

 

10 years ago

Michuzi

Ripoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW yakabidhiwa kwa Mwenyekiti wa PAC leo

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Kabwe na Kaimu wake Mh. Deo Filikunjombe,Bungeni mjini Dodoma leo.Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC,Mhe. Zitto Kabwe Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Job Ndugai akiwa ameshikilia...

 

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO TAMASHA LA WANAWAKE KUFANYIKA MLIMANI CITY, DAR

Tamasha la wanawake , Mlimani City  Hall Dar es salaam Tarehe: 7th March, Jumamosi Muda: Saa 10 Jioni KANSA YA KOO YA SHINGO YA UZAZI (CERVICAL CANCER) Siku ya wanawake duniani , wanawake watapimwa kansa ya koo la kizazi bure, PSI watatumia tekmologia mpya kupima hiyo kansa na kutoa ushauri Kansa ya kizazi cha shigo ni hatari sana na uambukizwa na mwenza kwa njia ya kujamihama. Kansa hii hupona iwapo tu itagundulika… ...

 

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO VALENTINE’S DAY, DAR LIVE!

Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE ila siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapendanao wote ‘Valentine’s Day’ imefika ambapo leo, Februari 14, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kutoka kwa wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ pamoja na Mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Good newz...

 

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO KRISMASI KUHAMIA DAR LIVE

Mkali wa Bongo fleva Bongo, Nasib Abdul 'Diamond'. Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE imewadia! Kama ulikuwa ukijiuliza ni sehemu gani ya kutoka Sikukuu ya Krismasi ya leo basi ni ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo kampuni ya simu ya Vodacom kwa kushirikiana na kampuni ya vinywaji ya Cocacola na Red Bull watawashusha wakali ambao hawashikiki Bongo kutoa burudani mwanzo mwisho....

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LEO NDIYO LEO TAIFA

Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa, hatimaye imewadia ambapo leo (Agosti 8, 2014) tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litatingisha kinomanoma ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, burudani ya nguvu ikitarajiwa kuongozwa na mkali wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Ali Kiba. ALLY KIBA
“Kwa mara ya kwanza, nitapanda jukwaa la Uwanja wa Taifa kuweka historia mpya. Nitagonga kali kama...

 

11 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO DAR LIVE

Mkali wa maigizo na michezo ya watoto Profesa Calabash leo atakuwepo kuwapa raha watoto ndani ya Dar Live. UNAJIULIZA uende wapi kusherehekea Mwaka Mpya? Jibu ni ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem ambapo leo (Januari Mosi, 2014) kutakuwa na burudani ya nguvu kwa wakubwa na watoto ikiwa ni mwendelezo wa shangwe za sikukuu zinazoendelea kudondoshwa ndani ya ukumbi huo wa kisasa.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ripoti ya ukatili wa kijinsia kuzinduliwa leo

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), leo saa 3:00 asubuhi kitazindua ripoti ya utafiti wa unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika Desemba 2013 katika wilaya 20 za Tanzania Bara na Zanzibar. Taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani