RIPOTI YA ESCROW, LEO NDIYO LEO
![](http://api.ning.com:80/files/8fil5gmLgTY*whhgWrbWm09lsnOmtK4kXOlarHrh4*39GMmXak9aqd5sUqEfMk3YXeCwbht5WgoEyR5X3RzwmqsN1GxOILRj/2.jpg?width=650)
Wajumbe wa kamati wakiioitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRipoti ya GAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa Bungeni leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq9IGKHkIkFIzueEpEx-Wxyty6RhSSb2Y0D1IPnCCmasjS10tfL9WApzGBaxIN8tDgBdRntp2KIXXBjm15ydWOzh/IMG20141117WA0000.jpg?width=650)
RIPOTI MAALUMU YA CAG KUHUSU AKAUNTI YA ESCROW YAKABIDHIWA KWA MWENYEKITI WA PAC LEO
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Kabwe na Kaimu wake Mh. Deo Filikunjombe,Bungeni mjini Dodoma leo. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti… ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_F_vzxVqNg/VGnz9WLPkPI/AAAAAAAGx1g/u3cEQNMzUQM/s72-c/IMG-20141117-WA0000.jpg)
Ripoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW yakabidhiwa kwa Mwenyekiti wa PAC leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_F_vzxVqNg/VGnz9WLPkPI/AAAAAAAGx1g/u3cEQNMzUQM/s1600/IMG-20141117-WA0000.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PY5391PvJIc/VGnz-hlifZI/AAAAAAAGx1o/adRTSUd9zJM/s1600/IMG-20141117-WA0002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xRut2wxrNTE/VGn0AMlmbXI/AAAAAAAGx1w/tJ859WE8bGk/s1600/IMG-20141117-WA0003.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9E2Re91PkTsCJcXiFPUZG**XJU2*MOgGmfoE7YVCljoJhTTJWQTocfp-KF*Wbnql7TilTfIxZFa1d8O8V*JLIDn/MWANAMKE.jpg)
LEO NDIYO LEO TAMASHA LA WANAWAKE KUFANYIKA MLIMANI CITY, DAR
Tamasha la wanawake , Mlimani City  Hall Dar es salaam Tarehe: 7th March, Jumamosi Muda: Saa 10 Jioni KANSA YA KOO YA SHINGO YA UZAZI (CERVICAL CANCER) Siku ya wanawake duniani , wanawake watapimwa kansa ya koo la kizazi bure, PSI watatumia tekmologia mpya kupima hiyo kansa na kutoa ushauri Kansa ya kizazi cha shigo ni hatari sana na uambukizwa na mwenza kwa njia ya kujamihama. Kansa hii hupona iwapo tu itagundulika… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CDpOn5M7-Bv86FQHwczeyKlGB6F3z4aOsMDn0-F53PgrqjK*fzC46-vttwyx-EWulnqmDudtC349PJxJF-I1KfsgMmIb4UMn/Vale.jpg)
LEO NDIYO LEO VALENTINE’S DAY, DAR LIVE!
Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE ila siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapendanao wote ‘Valentine’s Day’ imefika ambapo leo, Februari 14, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kutoka kwa wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ pamoja na Mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Good newz...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7pIm0W7BfmjUCr65FVvSpkTsUrHMtq6dt2tc9sdJYe4J0X1p2NovEt5cvkTP0XWlr-h62Zi5z5hlBtGdJO2Jl9/PLATZ.jpg?width=650)
LEO NDIYO LEO KRISMASI KUHAMIA DAR LIVE
Mkali wa Bongo fleva Bongo, Nasib Abdul 'Diamond'. Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE imewadia! Kama ulikuwa ukijiuliza ni sehemu gani ya kutoka Sikukuu ya Krismasi ya leo basi ni ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo kampuni ya simu ya Vodacom kwa kushirikiana na kampuni ya vinywaji ya Cocacola na Red Bull watawashusha wakali ambao hawashikiki Bongo kutoa burudani mwanzo mwisho....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20ZEJ5EvqildWtSCivD11EdnSmHH0k5L2R35VcgoVN6ywuqhEmhhUYbd8D6pKvoWJMUHhLH-wC*Eqs*PcDoURh4/matumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LEO NDIYO LEO TAIFA
Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa, hatimaye imewadia ambapo leo (Agosti 8, 2014) tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litatingisha kinomanoma ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, burudani ya nguvu ikitarajiwa kuongozwa na mkali wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Ali Kiba. ALLY KIBA
“Kwa mara ya kwanza, nitapanda jukwaa la Uwanja wa Taifa kuweka historia mpya. Nitagonga kali kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCia5Bojp**DTKKw3DZsqPecOA2OI002PJa2MNX-Xla0qqYfewtsJ8LK5S8SOHhI468e6ZpAN7ZSmHbgbK4Kt521/darlive.jpg?width=650)
LEO NDIYO LEO DAR LIVE
Mkali wa maigizo na michezo ya watoto Profesa Calabash leo atakuwepo kuwapa raha watoto ndani ya Dar Live. UNAJIULIZA uende wapi kusherehekea Mwaka Mpya? Jibu ni ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem ambapo leo (Januari Mosi, 2014) kutakuwa na burudani ya nguvu kwa wakubwa na watoto ikiwa ni mwendelezo wa shangwe za sikukuu zinazoendelea kudondoshwa ndani ya ukumbi huo wa kisasa.… ...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Ripoti ya ukatili wa kijinsia kuzinduliwa leo
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), leo saa 3:00 asubuhi kitazindua ripoti ya utafiti wa unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika Desemba 2013 katika wilaya 20 za Tanzania Bara na Zanzibar. Taarifa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania