Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LEO NDIYO LEO DAR LIVE

Mkali wa maigizo na michezo ya watoto Profesa Calabash leo atakuwepo kuwapa raha watoto ndani ya Dar Live. UNAJIULIZA uende wapi kusherehekea Mwaka Mpya? Jibu ni ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem ambapo leo (Januari Mosi, 2014) kutakuwa na burudani ya nguvu kwa wakubwa na watoto ikiwa ni mwendelezo wa shangwe za sikukuu zinazoendelea kudondoshwa ndani ya ukumbi huo wa kisasa.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO VALENTINE’S DAY, DAR LIVE!

Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE ila siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapendanao wote ‘Valentine’s Day’ imefika ambapo leo, Februari 14, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kutoka kwa wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ pamoja na Mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Good newz...

 

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO KRISMASI KUHAMIA DAR LIVE

Mkali wa Bongo fleva Bongo, Nasib Abdul 'Diamond'. Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE imewadia! Kama ulikuwa ukijiuliza ni sehemu gani ya kutoka Sikukuu ya Krismasi ya leo basi ni ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo kampuni ya simu ya Vodacom kwa kushirikiana na kampuni ya vinywaji ya Cocacola na Red Bull watawashusha wakali ambao hawashikiki Bongo kutoa burudani mwanzo mwisho....

 

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO TAMASHA LA WANAWAKE KUFANYIKA MLIMANI CITY, DAR

Tamasha la wanawake , Mlimani City  Hall Dar es salaam Tarehe: 7th March, Jumamosi Muda: Saa 10 Jioni KANSA YA KOO YA SHINGO YA UZAZI (CERVICAL CANCER) Siku ya wanawake duniani , wanawake watapimwa kansa ya koo la kizazi bure, PSI watatumia tekmologia mpya kupima hiyo kansa na kutoa ushauri Kansa ya kizazi cha shigo ni hatari sana na uambukizwa na mwenza kwa njia ya kujamihama. Kansa hii hupona iwapo tu itagundulika… ...

 

10 years ago

GPL

MWANA DAR LIVE CONCERT: ALI KIBA, MSAGA SUMU, ISHA ‘LIVE’ NA WAANDISHI LEO

MFALME wa Bongo Fleva, Ali Kiba, Mfalme wa Vigodoro, Msaga Sumu pamoja na Malkia wa Masauti, Isha Mashauzi wanatarajiwa kukutana na waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza-Africasana, jijini Dar kabla ya kufanyika kwa shoo ya Mwana Dar Live Aprili 5, mwaka huu (Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar. Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba. Akizungumza na Showbiz,...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LEO NDIYO LEO TAIFA

Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa, hatimaye imewadia ambapo leo (Agosti 8, 2014) tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litatingisha kinomanoma ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, burudani ya nguvu ikitarajiwa kuongozwa na mkali wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Ali Kiba. ALLY KIBA
“Kwa mara ya kwanza, nitapanda jukwaa la Uwanja wa Taifa kuweka historia mpya. Nitagonga kali kama...

 

10 years ago

GPL

RIPOTI YA ESCROW, LEO NDIYO LEO

Wajumbe wa kamati wakiioitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usiku wa Kanumba Dar Live leo

TAMASHA la Kanumba Day linatarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam na kupambwa na burudani mbalimbali. Leo ni siku ya kuadhimisha kifo cha...

 

9 years ago

Global Publishers

Yamoto Band Hakukaliki Dar Live Leo

YAMOTO.pngHAKAI mtu! Unaweza sema kwa maana nyingine wakati bendi inayokimbiza mjini, Yamoto leo (Desemba 19), itakapoporomosha ngoma mpya na zote zinazobamba ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na kona ya Muziki wa Dansi, Mohamed Seif ‘Mudy K’ alisema kuwa kwa mara ya kwanza baada ya kubamba na Ngoma ya Cheza kwa Madoido, Yamoto watatambulisha ngoma yao mpya ijulikanayo kama Imo.

“Mbali na Imo, Yamoto pia watatambulisha nyimbo nyingine mbili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani