Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Taifa Queens itacheza Kombe la Dunia’

Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anna Kibira amesema ana imani timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) itafuzu kucheza Kombe la Dunia mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mwanza Queens waichapa Mara Queens Goli 6 kwa 1 katika mechi ya uzinduzi wa Women Taifa Cup jijini Mwanza leo

IMG-20150101-WA0055

Kikosi cha Timu ya Mara (jezi Nyekundu) wakisalimiana na Marefa wa mchezo huo tayari kwa Mtanange wa Women Taifa Cup kuzinduliwa leo jijini Mwanza kwa Kuzikutanisha timu za Mwanza na Mara. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF, Mh Jamal Malinzi akisalimiana na wachezaji wa timu ya Mara kabla ya Mechi ya Uzinduzi wa mashindano ya Mpira wa Miguu kwa wanawake yajulikanayo kama Women Taifa Cup kuanza katika dimba la CCM kirumba leo Jijini Mwanza Baadhi ya Viongozi wa Mpira wa...

 

10 years ago

Michuzi

MWANZA QUEENS WAICHAPA MARA QUEENS GOLI 6 KWA 1 KATIKA MECHI YA UZINDUZI WA WOMEN TAIFA CUP MCHEZO ULIOCHEZWA JIJINI MWANZA LEO

Kikosi cha Timu ya Mara (jezi Nyekundu) wakisalimiana na Marefa wa mchezo huo tayari kwa Mtanange wa Women Taifa Cup kuzinduliwa leo jijini Mwanza kwa Kuzikutanisha timu za Mwanza na Mara.Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF, Mh Jamal Malinzi akisalimiana na wachezaji wa timu ya Mara kabla ya Mechi ya Uzinduzi wa mashindano ya Mpira wa Miguu kwa wanawake yajulikanayo kama Women Taifa Cup kuanza katika dimba la CCM kirumba leo Jijini MwanzaBaadhi ya Viongozi wa Mpira wa Mkoa wa...

 

11 years ago

GPL

WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA

Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Uwanja wa Taifa bado gumzo Kombe la Dunia

Huo uwanja ambao tunaung’oa viti hapo Temeke kwa vurugu zisizo na msingi kumbe ni gumzo Brazil. Huo uwanja ambao Watanzania hatuoni thamani yake na tunadhani ni uwanja mzuri wa kawaida tu kumbe ni gumzo Brazil.

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball baada ya ushindi wa nafasi ya tatu (Bronze Medal) katika mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia la Mchezo wa Baseball Umri chini ya Miaka 18. Mashindano hayo yalifanyika nchini Kenya katika mji wa Meru tarehe 15 - 20 Disemba, 2014 na yalikuwa kutafuta tiketi kwa Bara la Afrika ya kushiriki mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika hapo mwakani 2015 katika jiji la Tokyo, Japan.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukata tatizo Taifa Queens

Ukata umeiondoa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) kushiriki kwenye mashindano ya Afrika ya kutafuta tiketi ya kucheza Kombe la Dunia la netiboli mwakani.

 

10 years ago

TheCitizen

Taifa Queens overlooked for Singapore championship

The national netball team will not compete at this year’s edition of the Nations Cup, the Tanzania Amateur Netball Association (Chaneta) has said.

 

11 years ago

TheCitizen

Taifa Queens to assemble for W.Cup qualifiers

The national netball team, Taifa Queens, will assemble next month to gauge skills ahead of the Africa 2015 World Cup qualifiers to be held mid September in Gaborone, Botswana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani