‘Taifa Queens itacheza Kombe la Dunia’
Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anna Kibira amesema ana imani timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) itafuzu kucheza Kombe la Dunia mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwanza Queens waichapa Mara Queens Goli 6 kwa 1 katika mechi ya uzinduzi wa Women Taifa Cup jijini Mwanza leo


10 years ago
Michuzi
MWANZA QUEENS WAICHAPA MARA QUEENS GOLI 6 KWA 1 KATIKA MECHI YA UZINDUZI WA WOMEN TAIFA CUP MCHEZO ULIOCHEZWA JIJINI MWANZA LEO



11 years ago
GPL
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Brazil 2014: Uwanja wa Taifa bado gumzo Kombe la Dunia
Huo uwanja ambao tunaung’oa viti hapo Temeke kwa vurugu zisizo na msingi kumbe ni gumzo Brazil. Huo uwanja ambao Watanzania hatuoni thamani yake na tunadhani ni uwanja mzuri wa kawaida tu kumbe ni gumzo Brazil.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Sep
Ukata tatizo Taifa Queens
Ukata umeiondoa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) kushiriki kwenye mashindano ya Afrika ya kutafuta tiketi ya kucheza Kombe la Dunia la netiboli mwakani.
10 years ago
TheCitizen17 Nov
Taifa Queens overlooked for Singapore championship
The national netball team will not compete at this year’s edition of the Nations Cup, the Tanzania Amateur Netball Association (Chaneta) has said.
11 years ago
TheCitizen08 Jul
Taifa Queens to assemble for W.Cup qualifiers
The national netball team, Taifa Queens, will assemble next month to gauge skills ahead of the Africa 2015 World Cup qualifiers to be held mid September in Gaborone, Botswana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania