Nusu fainali Kombe la Taifa kesho
>Wenyeji Temeke kesho watafungua pazia dhidi ya Kinondoni katika nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Kombe la Taifa ya netiboli inayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s72-c/Tanzania_FF_(logo).png)
ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s1600/Tanzania_FF_(logo).png)
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...
11 years ago
GPLNUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI LEO
Azam FC vs KCC live leo on Azam TV saa kumi jioni
Saa mbili usiku Simba vs URA , Live on Azam…
11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPvIfB3Dsc1vuxGB8ZPLQCnMK8k2tLw2Ca7frd4Q*5GJMwt3EFC-L8NueUB6Zqp3zEYQ8wnqYs*8dSEKjqAxY1gZ/brazilvsgermany.jpg?width=650)
10 years ago
VijimamboTimu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
10 years ago
MichuziTimu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup Unguja
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania