Yanga kunyakua kombe leo Taifa?
Katibu Mkuu wa Yanga, Dk. Jonas Tiboroha alisema kuwa wameandaa champagne na jezi za kutosha kwa ajili ya kusherehesha ubingwa huo kama watautwaa leo.
“Tunajua umuhimu wa mchezo huo (Polisi Moro) ambao utakuwa mgumu kutokana na wapinzani wetu kuwa kwenye hatari ya...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo22 Aug
AZAM NA YANGA TAIFA LEO KOMBE LA NGAO
![](http://www.timesfm.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/Azam-Na-Yanga.jpg)
Mpaka sasa ni 0-0 mpira ni mapumziko
Washambuliaji wa Yanga Saimon Msuva, Donald Ngoma raia wa Botoswana na Vicent Bossou raia wa Mali wanaitetekisha ngome ya Azam kila Mara kutokana na mashambulizi ya Mara Kwa Mara kutoka Kwa winga wao Kijana mdogo Geofrey Mwashiuya. Yanga kipindi cha kwanza walitoa mashambulizi kutoka upande wa Kusin kenda kaskazini kipindi cha pili Yanga watatoa mashambulizi kutoka kaskazini kwenda Kusin, historian ya uwanja huu wa Taifa goli la upande wa kusini uwa...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
MSUVA APIGA HAT TRICK YANGA IKIIADHIBU TAIFA 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-eTv9EEaJNCI%2FVKcKyWBkKtI%2FAAAAAAADUK0%2FS6iH4FqcIvo%2Fs1600%2Fmsuva1.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Yanga kuivaa Thika United Taifa leo
![Kikosi cha Yanga](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Kikosi-cha-Yanga.jpg)
Kikosi cha Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya Yanga leo kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Thika United ya Kenya katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Yanga, iliyoweka kambi visiwani Zanzibar, ilirejea Dar es Salaam baada ya kucheza mechi tatu kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Kabla ya kuanza kwa ligi hiyo, Yanga watamenyana na mabingwa watetezi wa ligi hiyo, timu ya Azam FC, katika mchezo wa Ngao ya...
11 years ago
GPL11 years ago
GPLYANGA WATOSHANA NGUVU NA AZAM UWANJA WA TAIFA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s72-c/MMGM0430.jpg)
YANGA, NDANDA ZATOKA SULUHU UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s1600/MMGM0430.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1Ut4k7AS74/VM5COcG-zbI/AAAAAAAHArQ/l6aZMemQBTI/s1600/MMGM0449M.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R13pogCyQsQ/VM5DifzcanI/AAAAAAAHArk/K80WpKAUSXs/s1600/MMGL0520.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyrXVNIeDOo/VM5DiZ5cT_I/AAAAAAAHArc/9JNHJg82rQM/s1600/MMGL0562.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)