Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa Stars coach drops Mapunda and ‘Cannavaro’

Taifa Stars’ stand-in coach, Salum Madadi, has unveiled a 23-member squad for two international friendly matches against Burundi and Malawi.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Cannavaro: Beki Taifa Stars tatizo

>Nahodha wa Taifa Stars, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema safu yao ya ulinzi imekuwa ikifanya makosa mengi yanayoigharimu timu hiyo, lakini amewatoa hofu mashabiki kuwa hali hiyo haitajirudia kwenye mchezo ujao dhidi ya Msumbiji.

 

10 years ago

Mwananchi

Cannavaro, Kiemba watemwa Taifa Stars

>Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’,   Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na kiungo Amri Kiemba wameachwa katika  kikosi cha timu hiyo kinachotarajiwa kuondoka leo jioni kwenda Afrika  Kusini kushiriki mashindano ya Kombe la Cosafa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapunda: Kutemwa Stars kawaida

KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, amesema kitendo cha kuachwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinachojiwinda na mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi ‘Intamba Murugamba’ itakayochezwa Aprili 26,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ivo Mapunda aipeleka Kili Stars nusu fainali

p>KIPA mkongwe, Ivo Mapunda, jana aliibuka shujaa baada ya kuiwezesha timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kuwaondoa mabingwa watetezi Uganda ‘The Cranes’ kwa changamoto ya mikwaju ya penalti...

 

11 years ago

GPL

IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amewaacha kipa Ivo Mapunda wa Simba SC na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga SC katika kikosi chake cha wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu. Beki wa kati wa Yanga, Nadir Haroub...

 

10 years ago

GPL

Cannavaro, Abdul wazichapa kavukavu Taifa

NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Musa Mateja,Dar es Salaam
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, juzi Jumatano alijikuta akivaana na beki mwenzake wa timu moja, Juma Abdul na kurushiana makonde walipokuwa wakiingia kwenye vyumba vya kupumzika wakati wa mchezo dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa. Mtiririko wa tukio hilo ambalo lilikuwa kama filamu, katika mechi hiyo ambayo Yanga...

 

11 years ago

GPL

IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU

Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapunda awakaribisha Watanzania katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar kuonyesha matumaini yao kwa Tanzania.

 

10 years ago

TheCitizen

Stars coach seeks redemption

Taifa Stars head coach Mart Nooij says only a win over Benin in today’s international friendly match will make up for the national team’s embarrassing show in their last two matches.

 

11 years ago

TheCitizen

Tricky test for new Stars coach

Coach Martinus Nooij could have asked for an easier start as he attempts to resurrect the fortunes of an often under-performing Taifa Stars.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani