Taifa Stars coach drops Mapunda and ‘Cannavaro’
Taifa Stars’ stand-in coach, Salum Madadi, has unveiled a 23-member squad for two international friendly matches against Burundi and Malawi.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Cannavaro: Beki Taifa Stars tatizo
>Nahodha wa Taifa Stars, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema safu yao ya ulinzi imekuwa ikifanya makosa mengi yanayoigharimu timu hiyo, lakini amewatoa hofu mashabiki kuwa hali hiyo haitajirudia kwenye mchezo ujao dhidi ya Msumbiji.
10 years ago
Mwananchi13 May
Cannavaro, Kiemba watemwa Taifa Stars
>Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’,  Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na kiungo Amri Kiemba wameachwa katika kikosi cha timu hiyo kinachotarajiwa kuondoka leo jioni kwenda Afrika Kusini kushiriki mashindano ya Kombe la Cosafa.
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Mapunda: Kutemwa Stars kawaida
KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, amesema kitendo cha kuachwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinachojiwinda na mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi ‘Intamba Murugamba’ itakayochezwa Aprili 26,...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Ivo Mapunda aipeleka Kili Stars nusu fainali
p>KIPA mkongwe, Ivo Mapunda, jana aliibuka shujaa baada ya kuiwezesha timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kuwaondoa mabingwa watetezi Uganda ‘The Cranes’ kwa changamoto ya mikwaju ya penalti...
11 years ago
GPLIVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA
Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amewaacha kipa Ivo Mapunda wa Simba SC na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga SC katika kikosi chake cha wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu. Beki wa kati wa Yanga, Nadir Haroub...
10 years ago
GPLCannavaro, Abdul wazichapa kavukavu Taifa
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Musa Mateja,Dar es Salaam
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, juzi Jumatano alijikuta akivaana na beki mwenzake wa timu moja, Juma Abdul na kurushiana makonde walipokuwa wakiingia kwenye vyumba vya kupumzika wakati wa mchezo dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa. Mtiririko wa tukio hilo ambalo lilikuwa kama filamu, katika mechi hiyo ambayo Yanga...
11 years ago
GPL23 Jul
IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU
Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapunda awakaribisha Watanzania katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar kuonyesha matumaini yao kwa Tanzania.
10 years ago
TheCitizen12 Oct
Stars coach seeks redemption
Taifa Stars head coach Mart Nooij says only a win over Benin in today’s international friendly match will make up for the national team’s embarrassing show in their last two matches.
11 years ago
TheCitizen04 May
Tricky test for new Stars coach
Coach Martinus Nooij could have asked for an easier start as he attempts to resurrect the fortunes of an often under-performing Taifa Stars.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania