Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivo Mapunda aipeleka Kili Stars nusu fainali

p>KIPA mkongwe, Ivo Mapunda, jana aliibuka shujaa baada ya kuiwezesha timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kuwaondoa mabingwa watetezi Uganda ‘The Cranes’ kwa changamoto ya mikwaju ya penalti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TIM KRUL AIPELEKA UHOLANZI NUSU FAINALI

Kipa wa Uholanzi, Tim Krul akipangua penalti ya Michael Umana wa Costa Rica. Tim akishangilia na mwenzake Dirk Kuyt baada ya kuipeleka Uholanzi nusu fainali.…

 

11 years ago

Michuzi

Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa

 

 

Mats Hummels  ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye  leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...

 

9 years ago

Mtanzania

Kili Stars ya kwanza robo fainali

thumb_IMG_2055_1024*Zanzibar yaangukia pua, mzimu wa Algeria wamwandama Mudathir

NA MWANDISHI WETU

TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, imekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea kutimua vumbi nchini Ethiopia, baada ya jana kuichapa Rwanda ‘Amavubi’ mabao 2-1, mchezo uliofanyika Uwanja wa Awassa.

Wakati Kili Stars ikikenua kwa ushindi, wawakilishi wengine wa Tanzania, Zanzibar Heroes waliendelea kuwa wateja kwenye michuano hiyo baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kuivaa Kenya nusu fainali

Ushujaa wa kipa namba moja wa Kilimanjaro Stars, Ivo Mapunda umeivua ubingwa Uganda na kuiingiza Stars nusu fainali ya Kombe la Chalenji

 

11 years ago

GPL

STARS YAIVUA UBINGWA UGANDA, YATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

TIMU ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali baada ya kuwatoa Mabingwa watetezi wa Kombe hilo Uganda kwa ushindi wa changamoto ya penalti 3-2 katika michuano ya kombe la Chalenji inayoendelea jijini Nairobi, nchini Kenya lakini shujaa akiwa kipa Ivo Mapunda . Katika mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Manispaa ya mji wa Mombasa nchini Kenya, Uganda ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ivo Mapunda amfagilia Aveva

KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, ameupongeza uongozi mpya wa klabu hiyo kwa kufanya usajili mzuri ambao utaleta ushindani katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza jijini Dar es...

 

11 years ago

GPL

Taulo la Ivo Mapunda marufuku golini

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. Lucy Mgina na Sweetbert Lukonge
TABIA ya kipa wa Simba, Ivo Mapunda kutundika taulo katika nyavu za golini sasa inaelekea kufikia ukomo kwa kuwa licha ya waamuzi kadhaa kumkataza kufanya hivyo wakati wa mechi, mwamuzi mwingine wa kimataifa ameliambia gazeti hili kuwa ni marufuku kutundika taulo golini. Ivo amekuwa na kawaida ya kutundika taulo kwenye nyavu kisha kuendelea na mchezo, lakini kwenye...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Ivo Mapunda aitwa AFC Leopards

ALIYEKUWA Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amemkumbuka kipa Ivo Mapunda ameonyesha nia ya kutaka kumsajili katika timu yake ya sasa ya AFC Leopard ya Kenya.

Mapunda alisema kuwa amepata mwaliko kutoka kwa Logarusic kwenda kuichezea timu hiyo huku taratibu nyingine zikiendelea.

“Logarusic anajua kazi yangu ni kocha ambaye nilikuwa nae Gor Mahia na Simba, baada ya kusikia nimeachwa alinipigia simu na kuniambia niende kwenye timu yake.

“Kuhusu suala la mkataba alijaniambia ili...

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe

Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa viongozi wao wamefanya jambo la busara ambalo hawatalijutia kwa uamuzi wao wa kumsajili Donald Musoti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani