Ivo Mapunda aitwa AFC Leopards
ALIYEKUWA Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amemkumbuka kipa Ivo Mapunda ameonyesha nia ya kutaka kumsajili katika timu yake ya sasa ya AFC Leopard ya Kenya.
Mapunda alisema kuwa amepata mwaliko kutoka kwa Logarusic kwenda kuichezea timu hiyo huku taratibu nyingine zikiendelea.
“Logarusic anajua kazi yangu ni kocha ambaye nilikuwa nae Gor Mahia na Simba, baada ya kusikia nimeachwa alinipigia simu na kuniambia niende kwenye timu yake.
“Kuhusu suala la mkataba alijaniambia ili...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
AFC Leopards na Victoria fainali
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Gor Mahia na Afc Leopards uwanjani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7T4fb2Gd_7I/U4N63vi7CHI/AAAAAAAFlM0/zJkOxDWgOkI/s72-c/unnamed+(55).jpg)
Mbeya City v/s AFC leopards live report
![](http://1.bp.blogspot.com/-7T4fb2Gd_7I/U4N63vi7CHI/AAAAAAAFlM0/zJkOxDWgOkI/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
TheCitizen21 May
Simba SC raid AFC Leopards for goalkeeper’s coach
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Ivo Mapunda amfagilia Aveva
KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, ameupongeza uongozi mpya wa klabu hiyo kwa kufanya usajili mzuri ambao utaleta ushindani katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Logarusic amrejesha Kenya Ivo Mapunda
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5GVb18Ygrbf8CSvCBNHa3if4QYwjDLxI84zMCxBFy2PvyvAk1lJWAyeJbd3NNDSfM0jlQBFB0OIAB0ZxgAyDPI/TAULO.gif?width=640)
Taulo la Ivo Mapunda marufuku golini