Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivo Mapunda aitwa AFC Leopards

ALIYEKUWA Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amemkumbuka kipa Ivo Mapunda ameonyesha nia ya kutaka kumsajili katika timu yake ya sasa ya AFC Leopard ya Kenya.

Mapunda alisema kuwa amepata mwaliko kutoka kwa Logarusic kwenda kuichezea timu hiyo huku taratibu nyingine zikiendelea.

“Logarusic anajua kazi yangu ni kocha ambaye nilikuwa nae Gor Mahia na Simba, baada ya kusikia nimeachwa alinipigia simu na kuniambia niende kwenye timu yake.

“Kuhusu suala la mkataba alijaniambia ili...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

AFC Leopards na Victoria fainali

AFC Leopards kuchuana dhidi ya Victoria University katyika fainali ya Nile Basin

 

11 years ago

BBCSwahili

Gor Mahia na Afc Leopards uwanjani

Mechi 8 zimeratibiwa kuchezwa mwishoni mwa wiki hii,ligi kuu ya premia nchini Kenya ikiingia wiki yake ya pili msimu wa 2014.

 

11 years ago

Michuzi

Mbeya City v/s AFC leopards live report

Mbeya City before their tussle with AFC Leopards from Kenya. Latest reports have it that AFC Leopards were  leading Mbeya City 1-0 scored by Mudde Musa in the 30th minute.  Its now 2-0 for AFC Leopards. Captain Were Paul has made a brilliant run in the 35th minute through the Mbeya defence that left it torn apart to send the ball at the back of the net. More to come, watch this space....

 

10 years ago

TheCitizen

Simba SC raid AFC Leopards for goalkeeper’s coach

Tanzanian giants Simba SC are hot in pursuit of AFC Leopards goalkeeping coach Iddi Salim as the team starts early plans for the 2015/16 season.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ivo Mapunda amfagilia Aveva

KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, ameupongeza uongozi mpya wa klabu hiyo kwa kufanya usajili mzuri ambao utaleta ushindani katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu

Klabu ya Gor Mahia ya Kenya inafikiria kumrudisha kipa wake wa zamani, Ivo Mapunda msimu ujao, wakati kiungo Jonas Mkude akisaini mkataba wa miaka mitatu kwa gharama Sh60 milioni kuitumikia Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe

Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa viongozi wao wamefanya jambo la busara ambalo hawatalijutia kwa uamuzi wao wa kumsajili Donald Musoti.

 

9 years ago

Mwananchi

Logarusic amrejesha Kenya Ivo Mapunda

Kocha wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic amempa kibarua kipa wa zamani wa klabu hiyo, Ivo Mapunda (pichani) kwa kukubali kumsajili katika klabu yake, AFC ya Leopards ya Kenya.

 

11 years ago

GPL

Taulo la Ivo Mapunda marufuku golini

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. Lucy Mgina na Sweetbert Lukonge
TABIA ya kipa wa Simba, Ivo Mapunda kutundika taulo katika nyavu za golini sasa inaelekea kufikia ukomo kwa kuwa licha ya waamuzi kadhaa kumkataza kufanya hivyo wakati wa mechi, mwamuzi mwingine wa kimataifa ameliambia gazeti hili kuwa ni marufuku kutundika taulo golini. Ivo amekuwa na kawaida ya kutundika taulo kwenye nyavu kisha kuendelea na mchezo, lakini kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani