Kili Stars ya kwanza robo fainali
*Zanzibar yaangukia pua, mzimu wa Algeria wamwandama Mudathir
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, imekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea kutimua vumbi nchini Ethiopia, baada ya jana kuichapa Rwanda ‘Amavubi’ mabao 2-1, mchezo uliofanyika Uwanja wa Awassa.
Wakati Kili Stars ikikenua kwa ushindi, wawakilishi wengine wa Tanzania, Zanzibar Heroes waliendelea kuwa wateja kwenye michuano hiyo baada ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Nov
Kili yatangulia robo fainali, Z’bar yatoka
TIMU ya Kilimanjaro Stars jana ilitinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuichapa Rwanda kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika mjini Awassa, Ethiopia. Wakati Kilimanjaro Stars ikitinga robo fainali wenzao wa Zanzibar Heroes walifungasha virago baada ya kubandikwa mabao 4-0 na Uganda `The Cranes’ katika mchezo uliopigwa mapema jana.
9 years ago
Habarileo29 Nov
Stars kuivaa Ethiopia robo fainali Chalenji
TIMU ya soka Taia ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ itacheza na Ethiopia katika robo fainali ya Kombe la Chalenji kesho.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Ivo Mapunda aipeleka Kili Stars nusu fainali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbLLGO3dMemxhzCxjZITc88re1H1*3Zi1tqEKgZAICAsKI6OaSRZtLhUbz18rENtlbkeDZgTF6EcOl5iBAFelJ4/kilistars.jpg)
KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Liverpool yafuzu robo fainali ya FA
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mpambano wa robo fainali Brazil
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Arsenal yatinga robo fainali FA