TIM KRUL AIPELEKA UHOLANZI NUSU FAINALI
![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQx6Y3d7xCTd5HpYgApb-x6-f6AXiBRsn50UOIO2M254kTcD414ZxTHoQx8UxY3sZxaNHw454d0Y2*kdBXr6dxv/tim.jpg)
Kipa wa Uholanzi, Tim Krul akipangua penalti ya Michael Umana wa Costa Rica. Tim akishangilia na mwenzake Dirk Kuyt baada ya kuipeleka Uholanzi nusu fainali.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Ivo Mapunda aipeleka Kili Stars nusu fainali
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
TheCitizen08 Jul
Tim Krul in dreamland after shoot-out switch
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Mbwana Samatta aipeleka Mazembe fainali Afrika
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MABAO mawili yaliyopachikwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, yalichangia ushindi wa 3-0 na kuipeleka Klabu ya TP Mazembe kwenye fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
TP Mazembe ikicheza kwenye uwanja wake wa nyumbani jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, iliifunga El Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali iliyochezwa jana.
Katika mchezo wa kwanza uliochezwa jijini Khartoum, TP Mazembe ililala 2-1 huku bao...
9 years ago
Bongo505 Oct
Mbwana Samatta aipeleka TP Mazembe fainali ya klabu bingwa barani Afrika
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aqIc5766bq4/U7BEot40xBI/AAAAAAAFtdI/OE30nt6P41c/s72-c/unnamed+(3).gif)
James Rodriguez aipeleka Colombia robo fainali kwa goli la mwaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-aqIc5766bq4/U7BEot40xBI/AAAAAAAFtdI/OE30nt6P41c/s1600/unnamed+(3).gif)
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7frWEZTJ2jYxbQFwXmKuWghYDFB8CAhKVmwLo48NfRHuuXz6X2lVYwo47mIedeGgVxposTIMWCGJaS0WRm2mXO/article26742661F4005D000000578779_964x336.jpg?width=650)
Dakika mbili zaipeleka Uholanzi robo fainali
11 years ago
Mwananchi30 Jun
BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali