Dakika mbili zaipeleka Uholanzi robo fainali
![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7frWEZTJ2jYxbQFwXmKuWghYDFB8CAhKVmwLo48NfRHuuXz6X2lVYwo47mIedeGgVxposTIMWCGJaS0WRm2mXO/article26742661F4005D000000578779_964x336.jpg?width=650)
FORTALEZA, Brazil UHOLANZI jana walitumia dakika mbili kupata nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Mexico mabao 2-1. Mchezaji wa Mexico, skipper Marquez (kushoto) akijiandaa kuokoa mpira katika eneo la hatari. Uholanzi ambao walicheza fainali katika michuano iliyopita ya mwaka 2010 nchini Brazil na kufungwa na Hispania, walikuwa wanapewa nafasi kubwa sana ya kutinga hatua hiyo,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s72-c/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s1600/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Arsenal yatinga robo fainali FA
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mpambano wa robo fainali Brazil
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Liverpool yafuzu robo fainali ya FA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQx6Y3d7xCTd5HpYgApb-x6-f6AXiBRsn50UOIO2M254kTcD414ZxTHoQx8UxY3sZxaNHw454d0Y2*kdBXr6dxv/tim.jpg)
TIM KRUL AIPELEKA UHOLANZI NUSU FAINALI
11 years ago
BBCSwahili04 Dec
Tanzania yaingia robo fainali CECAFA