JEURI YA FEDHA: APATA AJALI NA LAMBORGHINI YA MIL 675, ASEMA ATANUNUA NYINGINE KESHO YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvt7q3UVG*cs-Dw1FdhPe4Tm5RSGci7w4WwofDSapwGbdJUfmsvHOfQV7B-0kbuW1oHhDC4WzDSUjIVyspySnPSH/1.jpg)
Lamborghini Gallardo baada ya kugonga mti na kuparamia vizuizi vya barabarani. KATIKA kuonyesha jeuri ya fedha, mmiliki mmoja wa gari aina ya Lamborghini Gallardo huko nchini England ametoa mpya baada ya kupata ajali na kuwaambia mashuhuda kuwa kesho yake angenunua gari lingine kama hilo. Gari hilo la thamani likiwa limeharibika baada ya ajali. Mmiliki huyo alipata ajali katika eneo la Beaumont Leys, Leicestershire baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Alex Msama apata ajali, aporwa mil 20/-
MFANYABIASHARA Alex Msama amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya ya gari. Msama ambaye ni maarufu kwa kuandaa Tamasha la Pasaka kila mwaka, amepata ajali hiyo jana majira ya saa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0thNuVv-7FisJ1AhlJENfLG-Ox9oBQT2XFJZNg-KIiSqbr0G-GXGfC6Xwt3OFgCsPZc*NRqvMKfIDqyPElyusHBu/JEURI.jpg)
JEURI NYINGINE YA DIDA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGgY9t1iQR5IFOyxqFDHnWEq1RIUzNZZ085slwMyulArmIacvRUIoLPDoqLh0Fju5Ih*dQqPE9l56fZ6Q-cb5rbl/CHRISBROWN.jpg?width=650)
CHRIS BROWN AICHORA LAMBORGHINI YAKE MASHAIRI YA WIMBO WA 2PAC
11 years ago
MichuziALEX MSAMA APATA AJALI WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA,HALI YAKE YAENDELEA VIZURI
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Bw Alex Msama amepata ajali leo, eneo la Ipagala mwisho wakati...
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Jeuri ya fedha Yanga
MWALI IBRAHIM NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga, imeonyesha jeuri ya fedha baada ya kuamua kufunga hoteli watakayofikia mjini Bulawayo kwa siku mbili ili kukwepa kufanyiwa hujuma na wenyeji wao hao.
Uongozi wa klabu hiyo ambao haukutaka kuweka wazi jina la hoteli hiyo, umepanga kutokuruhusu mteja mwingine yeyote kuingia hotelini hapo, zaidi ya wachezaji na benchi la ufundi pekee wakihudumiwa na wahudumu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5xAviDDYktbIqnOA60UCxD2ou9KaKsl5Mo5WFHTdmWJGDiEyIEQLjIAvpYp8LsPKRfLCN6hfDQaiL5spAnfFo1/ray.jpg?width=650)
RAY AONESHA JEURI YA FEDHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Ls9QcodM2cHTd8d**l8GlOO9wqozMpVGaKkHGNC0r6Mjw4lzMHe7sf*YtorN7pJNKYRZEjs-XozAERC*Vfqvreh/mastaajeuli.jpg)
MASTAA WAONESHANA JEURI YA FEDHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDN7TW7Uf*SZzK3zziDyoujlWKEZZaR5Mx1dyHr5k0yjDxEnCn6if4sW1J3uGE9A76p51cMVe6dph6nbFzYCWQOH/wemaB.jpg?width=650)
WEMA JEURI YA FEDHA KWISHA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZV8ZqIUQ2V37bR2BuYZVuGG9Ns-g7qw4scQssr98khA2p-qBevO9Z1H2TMmcFjHrPlndHyDKaOLrBtQGL5lkJb/yanga.jpg?width=650)
Yanga yaonyesha jeuri ya fedha