ALEX MSAMA APATA AJALI WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA,HALI YAKE YAENDELEA VIZURI
Baadhi ya Wakazi wa Mkoa wa Dodoma pamoja na Mwenyekiti wa Bongo Movie(Steve Nyerere) na Single Mtambalike wakiwa pembeni ya Mkurugenzi wa Msama Promotions Limited Bw Alex Msama kwa ajili ya kumpa pole na kumfariji mara baada ya kupata ajali wakati akitokea Dar Es Salaam kuja Dodoma, ajali iliyotokea Ipagala Mwisho Kilometa chache tu kufika Dodoma Mjini.Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Bw Alex Msama amepata ajali leo, eneo la Ipagala mwisho wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1huPN07vqRclcIpeV23ksyTBxYf2MF9VV4XVcBg3bgcSFQaCQJJXvNLfjk7DCKjdFrw3jwL8D33sENaSzyHw-l/BREAKINGNEWS.gif)
ALEX MSAMA APATA AJALI
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Alex Msama apata ajali, aporwa mil 20/-
MFANYABIASHARA Alex Msama amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya ya gari. Msama ambaye ni maarufu kwa kuandaa Tamasha la Pasaka kila mwaka, amepata ajali hiyo jana majira ya saa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JV447xWLadk/VZLbh-DhhbI/AAAAAAAHl9k/WlKlSCnzvgM/s72-c/MMGL0022.jpg)
MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA DUMILA MKOANI MOROGORO WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JV447xWLadk/VZLbh-DhhbI/AAAAAAAHl9k/WlKlSCnzvgM/s640/MMGL0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6W_NRM0TGkw/VZLbiCyUGnI/AAAAAAAHl9o/v2F3SMaMI9I/s640/MMGL0034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m5P05tOBzsI/VZLbrLo7HaI/AAAAAAAHl98/X20c0JUTMZA/s640/MMGL0043.jpg)
10 years ago
MichuziMDAU MWAULANGA APATA AJALI WAMI AKIELEKEA MKOANI KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W6T_3NJVUIA/U9OVWJRMcBI/AAAAAAAF6jA/j2SMuWDURBU/s72-c/Bahati-Bukuku.jpg)
MUIMBAJI WA INJILI BAHATI BUKUKU APATA AJALI DODOMA AKIELEKEA KAHAMA KWENYE TAMASHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W6T_3NJVUIA/U9OVWJRMcBI/AAAAAAAF6jA/j2SMuWDURBU/s1600/Bahati-Bukuku.jpg)
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bahati Bukuku akiwa kwenye moja ya kazi zake ya uimbaji.
Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP...
11 years ago
Michuzi14 Apr
ALEX MSAMA ANAENDELEA VIZURI NA MATIBABU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/118.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/27.jpg)
MKURUGENZI ALEX MSAMA ANAENDELEA VIZURI