MUIMBAJI WA INJILI BAHATI BUKUKU APATA AJALI DODOMA AKIELEKEA KAHAMA KWENYE TAMASHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W6T_3NJVUIA/U9OVWJRMcBI/AAAAAAAF6jA/j2SMuWDURBU/s72-c/Bahati-Bukuku.jpg)
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bahati Bukuku akiwa kwenye moja ya kazi zake ya uimbaji.
Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Bahati Bukuku apata ajali mkoani Dodoma
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BAHATI BUKUKU APATA AJALI
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Bahati Bukuku apata ajali ya gari
MWIMBAJI maarufu wa muziki wa Injili nchini, Bahati Bukuku, amepata ajali ya gari akiwa njiani kuelekea Kahama katika tamasha la muziki wa Injili. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa...
11 years ago
CloudsFM28 Jul
JESHI LA POLISI LATOA TAARIFA KUHUSU AJALI MWIMBAJI NYIMBO ZA INJILI, BAHATI BUKUKU
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma David Misime - SACP Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imetokea tarehe...
11 years ago
MichuziALEX MSAMA APATA AJALI WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA,HALI YAKE YAENDELEA VIZURI
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Bw Alex Msama amepata ajali leo, eneo la Ipagala mwisho wakati...
10 years ago
Bongo501 Oct
Evance Bukuku wa Vuvuzela aeleza sababu za kumchukua mdogo wake muimbaji Enika kwenye comedy
10 years ago
MichuziMDAU MWAULANGA APATA AJALI WAMI AKIELEKEA MKOANI KILIMANJARO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRkrf0DtS6-XMF8GnsXWx*zsKuvncW5EO808bziVKICV0ITx*mBR*A3uCf-U-5kAH*9QpIClMWY3-7-4y2SNGBM8/BUKU.jpg)
BAHATI BUKUKU NUSU KIFO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWTTEQfGPTmBEo-9W-sxESd16RPbXHJZVZ09XxN9b28w01ioZcbQDTzURLcRogX*PHmaHlvlI2cabuYbe4IqiFcS/bahati.jpg)
SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-7