Tarimba akabidhi vyeti kwa makocha
WANG’AMUZI wa vipaji kwa ajili ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana walipatiwa vyeti na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika kutambua umuhimu wa kazi waliyofanya kuanzia hatua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Makocha Barca wakabidhi vyeti
MAKOCHA wa FC Barcelona ya Hispania waliokuwa wakiendesha kliniki ya mafunzo ya soka kwa siku mbili jijini Dar es Salaam, waliyafunga jana na kurejea kwao, huku wakikiri kuwa na furaha...
10 years ago
MichuziMhariri Gazeti la MTANZANIA akabidhi vyeti Shule ya Salma Kikwete
Wito huo ulitolewa Dar es Salam na Mhariri Msanifu wa gazeti la MTANZANIA, Khamis Mkotya alipokuwa akizungumza katika mahafali ya tano ya Jumuiya ya wanafunzi wa Kiislamu wa Shule ya Sekondari ya Salma Kikwete.
Mkotya ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo ambapo alisema ni lazima jamii ikubali kuondokana na kulalamika na badala yake iandae mazingira mazuri ya watoto wao...
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
11 years ago
Michuzimakocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
9 years ago
StarTV24 Dec
Mchakato Kuinunua Simba Tarimba aunga mkono dhamira ya Dewji.
Rais wa zamani wa klabu ya Yanga, Abbas Tarimba ameunga mkono dhamira ya Mohamed Dewji kutaka kuinunua klabu ya Simba akisema hiyo ndiyo njia pekee kuinusuru Simba ambayo inazidi kupoteza dira katika ulimwengu wa soka la kimtaifa.
Tarimba ana uzoefu wa kushindwa na pale alipotaka kuifanya Yanga imilikiwe na kampuni lakini akakumbana na vikwazo .
Hicho ndicho kinachotaka kumtokea Mohamed Dewji ambaye anataka kuinunua klabu ya Simba.
Tarimba anasema wanachama wa Simba na Yanga wameshindwa...
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
9 years ago
VijimamboMALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...