STEVE JOB AKUMBUKWA BAADA YA KIFO CHAKE MIAKA MINNE ILIYOPITA
![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANo7ESXVZ0tI4q7eQROeKhptoWyrJpw81GVsHBzjUXAFR8bloxUKvML0RhUSVdNXuAOyZp-Ld9EunzhkT4I-5Gu/wp12048rE.jpg?width=650)
MWASISI mwenza wa kampuni la zana za kompyuta la Apple, Steve Jobs, amekumbukwa leo na kampuni lake na walimwengu baada ya kufariki miaka minne iliyopita. Mwasisi mwenza wa kampuni la zana za Kompyuta la Apple, Steve Jobs. Kiongozi wa kampuni hilo, Tim Cook, na viongozi wengine wa kampuni hilo waliadhimisha tukio hilo kwa kummwagia sifa mwenzao huyo aliyefariki na kuliachia sifa kubwa kampuni hilo maarufu duniani. Katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Nov
Macaulay Culkin (Kevin) wa ‘Home Alone’ athibitisha kuwa yupo hai baada ya kuzushiwa kifo weekend iliyopita
10 years ago
Vijimambo18 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PySa0aQGiVw/XmVDgcDnCSI/AAAAAAALiDw/6xik87wt1G8bbU04TwqVCx5RXwkHkXviACLcBGAsYHQ/s72-c/70d0c800-7093-40fd-aace-fa981af494a5.jpg)
YANGA YAMALIZA UKAME WA USHINDI DERBY YA KARIAKOO BAADA YA MIAKA MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-PySa0aQGiVw/XmVDgcDnCSI/AAAAAAALiDw/6xik87wt1G8bbU04TwqVCx5RXwkHkXviACLcBGAsYHQ/s640/70d0c800-7093-40fd-aace-fa981af494a5.jpg)
Na Yassir Simba, Michuzi Tv
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga uliopigwa leo katika dimba la Taifa jijini Dar es Salaam umemalizika kwa Yanga timu ya wananchi kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0
Mchezo huo uliopigwa majira ya saa 11:00 jioni uliamuliwa kwa adhabu ndogo yaani free nje kidogo la lango la Simba mara baada ya kiungo wa Simba Jonas Gerald Mkude kumfanyia madhambi Benard Morrison katika dakika ya 43 ya mchezo ndipo muamuzi wa mchezo huo kutoka Morogoro Martin Sanya kuamuru...
11 years ago
GPLUMATI WA WAJITOKEZA KUMKUMBUKA MANGWEA MWAKA BAADA YA KIFO CHAKE
10 years ago
CloudsFM04 Nov
BAADA YA KIMYA CHA MIAKA MINNE RAY C ATANGAZA UJIO MPYA KIMUZIKI
Staa nguli wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila ‘Ray C’ kupitia account yake ya ‘instagram’ ametangaza ujio wake mpya kimuziki.
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Lulu amkumbuka Kanumba ikiwa ni miaka miwili tangu kifo chake kilipotokea. Hichi ndicho alichosema
Leo ni siku ya kutimiza miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha Steven Kanumba aliyekuwa star mkubwa wa filamu na kufanikiwa kutoa njia kwa tasnia ya filamu nchini. Kupitia mtandao wa kijamii Elizabeth Michael "Lulu" ambaye anakabiriwa na kesi ya mauaji ya Kanumba bila kukusudia ameandika kwa uchungu kuonyesha kuwa mpaka leo bado haamini kuwa Kanumba alikwishafariki.
Kupitia mtandao mmoja maaruffu wa kijamii, Lulu ameandika
bado Siamini kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Miaka mitatu baada ya kifo cha Kanumba: Bongo movies ‘Will never be the same again’
Wakati mwingine kuna maswali magumu sana kuweza kuyajibu. Kwa mfano kwanini watu muhimu na wazuri hufa mapema? Kwanini watu wenye umuhimu mkubwa katika jamii huondoka ghafla tena katika wakati ambapo wapo kwenye kilele cha mafanikio yao?
Chukulia mfano Aaliyah, Tupac, Notorious BIG au Stephen Kanumba! Hili ni swali gumu sana kulijibu na hivyo mambo mengine ni ya kumwachia Mungu.
Leo ni April 7, miaka mitatu tangu kifo cha muigizaji mahiri, aliyependwa, aliyekuwa na kipaji cha hali ya juu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUBYqpa*JOBR0zE-C7g-fAzMdyHetWbYVzSgiUZRomqU2nHqwruhZI5hKtKucQD3eZe5DKVIjjegKFHxUq2qmYR/ateseka.jpg)
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE