UMATI WA WAJITOKEZA KUMKUMBUKA MANGWEA MWAKA BAADA YA KIFO CHAKE
Rafiki kipenzi wa marehemu Ngwea, Dark Master (kutia), akirap. Inspector Harun (kushoto) na KR wakilishambulia jukwaa. Baadhi ya mashabiki toka Mkoa wa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM29 May
JAFARAI AFUNGUKA KUWA MUZIKI WAKE UMETIKISIKA BAADA YA KIFO CHA ALBERT MANGWEA
Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka kundi la wateule jafarai jafarhymes amefunguka kuwa muziki wake umekuwa katika hali ‘tete’baada ya kifo cha aliyekuwa msanii mwenzake wa muziki huo marehemu Albert Mangwea’Ngwea’ ambaye leo ametimiza mwaka mmoja tangu afariki dunia.
Jafarai muziki wake umesimama kutokana na kuwa na mazoea ya kufanya kazi zake kwa kushirikiana na msanii huyo, ngoma ya mwisho ya Jafarai kutoka ilikua Blaa Blaa iliyotoka zaidi ya mwaka mmoja uliopita.Jafarai huyu hapa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANo7ESXVZ0tI4q7eQROeKhptoWyrJpw81GVsHBzjUXAFR8bloxUKvML0RhUSVdNXuAOyZp-Ld9EunzhkT4I-5Gu/wp12048rE.jpg?width=650)
STEVE JOB AKUMBUKWA BAADA YA KIFO CHAKE MIAKA MINNE ILIYOPITA
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/chadema-1.jpg)
11 years ago
Habarileo30 Apr
Ajinyonga baada ya kumkumbuka mkewe
MKAZI wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, alisema jana kuwa Kijazi alijiua juzi saa 11:15 jioni katika maeneo ya Mtoni Kijichi, Wilaya ya Temeke.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBS0-0Ni0-E/U4OU1O1o5QI/AAAAAAAFlQs/Mz4xStem7eo/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kumbukumbu ya Kifo cha Mangwea Juni 28, Samaki Samaki Morogoro
Mangwea enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale
MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki Samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.
Akizungumza na mtando huu , Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ alisema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert –...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvDVQzCM3iuYO7UFTjnUFu-BwMg*KGeb6K-Tua3wHehsow5b7gL9WBwHbsGYfqGZAApCFSUVJ1ltIgFgXTAnKJG/AlbertMangwair.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA MEI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Utata wajitokeza kifo cha Meshack Yebei
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBCn4J0XKRc4-H68RhFsvVRQHheG6pdeISf1verDUzqmbmz13AHM-ykLZ1EYxvBkkSttQguIEjbZPhZMmrnfQFSw/ezekiely.jpg)
KIFO CHAKE CHATIBUA BETHDEI YA AUNT