Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata wajitokeza kifo cha Meshack Yebei

Hali tata imezidi kujitokeza juu ya kifo cha mtu anayetajwa kuwa shahidi katika kesi inayomkabili Naibu Rais wa Kenya William Ruto

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Utata maelezo kifo cha mshtakiwa wa ugaidi

WAKATI Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikielezwa kuwa taratibu za mazishi ya mtuhumiwa wa pili katika kesi ya ugaidi ya tukio la mlipuko wa bomu katika Baa ya Arusha Night...

 

11 years ago

Mwananchi

Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu

>Wakati kukiwa na utata wa kifo cha Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), imebainika kuwa tofauti ya takwimu kati ya mamlaka hiyo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), iliyotolewa kwenye Kamati ya Bunge ya Bajeti ni Sh25 bilioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Utata wazidi kugubika kifo cha mtumishi wa ndani

Wakati utata ukizidi kugubika kifo cha mtoto Asela Triphone (16), aliyekuwa mfanyakazi wa ndani mkoani Arusha, wananchi wa Kijiji cha Buyango wilayani Muleba wamevamia na kuchoma nyumba mbili za aliyekuwa mwajiri wake na kufyeka migomba wakimtuhumu kumuua binti huyo.

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA ABDUL BONGE UTATA MTUPU, KUZIKWA MORO

Umati wa vijana ukiwa hauamini kutokea kwa kifo cha Abdul Bonge. Meneja wa TMK Wanaume Family, Yamoto Band na Diamond, Said Fella akiwaeleza kinachoendelea baadhi ya mastaa waliofika msibani hapo. Msanii wa filamu za Kibongo, Baba Haji, akiwaelekeza wenzake ulipo msiba.…

 

11 years ago

Mwananchi

Kifo cha mke wa askari aliyefia kwa dereva wa bodaboda utata

>Wingu zito limegubika kifo cha mke wa askari polisi wa wilayani Mwanga, Kilimanjaro aliyefia chumbani kwa dereva wa bodaboda. Uchunguzi wa awali wa polisi unadai kuwa mwanamke huyo alilala chumbani huko usiku mzima wa kuamkia Jumapili, siku ambayo maiti yake iligunduliwa saa 12 jioni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: Maelfu wajitokeza Marekani kushiriki mandamano usiku kucha

Maandamano juu ya kifo cha raia mweusi wa Marekani George Floyd bado yanaendelea kwa usiku wa nane mfululizo

 

10 years ago

CloudsFM

KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI

Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Meshack Ndoje alamba nondozz yake Chuo Kikuu cha Dar es salaam University

 Mdau Meshack Ndoje jana Novemba 15, 2014 kwenye mahafali ya arobaini na nne (44) ya chuo kikuu cha Dar es Salaam katika ukumbi wa mlimani city alikuwa ni mmoja wa walamba nondozz waliotunukiwa Nondozz zao,Mdau Meshack amelamba nondozzz ya Takwimu yaani B.A. Statistics.
Mdau Meshack Ndoje akiwa na baadhi ya ndugu zake waliofika kumsapoti kwenye mahafali hayo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani