Utata maelezo kifo cha mshtakiwa wa ugaidi
WAKATI Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikielezwa kuwa taratibu za mazishi ya mtuhumiwa wa pili katika kesi ya ugaidi ya tukio la mlipuko wa bomu katika Baa ya Arusha Night...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Bonta atoa maelezo kuhusu post yake ya Instagram iliyozua utata kama anamwombea kifo Joh Makini!
![BONTA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/BONTA-300x194.jpg)
Bonta ni rapper wa Weusi Kampuni ambayo inaundwa na Nikki Wa Pili, Joh Makini, G-Nako na yeye mwenyewe. Baada ya Joh Makini kuachia wimbo wake mpya na video, ‘Don’t Bother’ aliomshirikisha rapper AKA wa Afrika Kusini , Bonta aliandika post yenye utata kidogo kwenye akaunti yake ya Instagram.
Hiki ndicho aliandika;
“JOHN aka
RUPTURE aka
@joh_makini aka
MWAMBA aka
ADILI KUMBUKA aka
D ROB aka
MTOTO WA DANDU aka
STIVE II K aka
COW BAMA aka
LANGA aka
FREDY JEBI aka
BABA KING / BABA...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/lkZykkHf23Q/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania04 Sep
Mshtakiwa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa
![Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/watuhumiwa-ugaidi-dar.jpg)
Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MMOJA wa watuhumiwa wa ugaidi katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), amevunja ukimya mahakamani baada ya kuonyesha suruali ilivyolowa kwenye makalio akisema ni...
11 years ago
Mwananchi20 May
Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Utata wajitokeza kifo cha Meshack Yebei
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Utata wazidi kugubika kifo cha mtumishi wa ndani
10 years ago
GPLKIFO CHA ABDUL BONGE UTATA MTUPU, KUZIKWA MORO
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kifo cha mke wa askari aliyefia kwa dereva wa bodaboda utata
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...