Bonta atoa maelezo kuhusu post yake ya Instagram iliyozua utata kama anamwombea kifo Joh Makini!
Bonta ni rapper wa Weusi Kampuni ambayo inaundwa na Nikki Wa Pili, Joh Makini, G-Nako na yeye mwenyewe. Baada ya Joh Makini kuachia wimbo wake mpya na video, ‘Don’t Bother’ aliomshirikisha rapper AKA wa Afrika Kusini , Bonta aliandika post yenye utata kidogo kwenye akaunti yake ya Instagram.
Hiki ndicho aliandika;
“JOHN aka
RUPTURE aka
@joh_makini aka
MWAMBA aka
ADILI KUMBUKA aka
D ROB aka
MTOTO WA DANDU aka
STIVE II K aka
COW BAMA aka
LANGA aka
FREDY JEBI aka
BABA KING / BABA...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPOST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA UTATA INSTAGRAM
10 years ago
Bongo520 Jul
Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata
10 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Utata maelezo kifo cha mshtakiwa wa ugaidi
WAKATI Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikielezwa kuwa taratibu za mazishi ya mtuhumiwa wa pili katika kesi ya ugaidi ya tukio la mlipuko wa bomu katika Baa ya Arusha Night...
5 years ago
Michuzi21 Mar
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Bongo519 Sep
Davido atangaza ujio wa collabo yake na Joh Makini
10 years ago
GPL
JOH MAKINI ATOBOA SIRI YA KOLABO YAKE NA DAVIDO
9 years ago
Bongo519 Nov
Don’t Bother ya Joh Makini yamshika Mama yake Dully Sykes

Si vijana tu wanaopagawa na ngoma mpya ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA, ‘Don’t Bother.
Mama yake mzazi na Dully Sykes naye ni shabiki wa ngoma hiyo.
Akizungumza XXL ya Clouds FM, Dully alisema mama yake mara kwa mara amekuwa akijaribu kuuimba wimbo huo unaofanya vizuri kwa sasa.
“Mama yangu anapenda sana hip hop na sasa hivi anapenda sana na ananiimbiaga Don’t Brother,”alisema Dully.
“Don’t Brother ndio nyimbo yake ya Joh Makini. Mama yangu ni shabiki wa Hip hop, ni shabiki mkubwa wa...