Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIKILIZE KWA MAKINI PROFESA JANABI AKIKUPA MAELEZO YA KITAALAMU KUHUSU CORONA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Bonta atoa maelezo kuhusu post yake ya Instagram iliyozua utata kama anamwombea kifo Joh Makini!

BONTA

Bonta ni rapper wa Weusi Kampuni ambayo inaundwa na Nikki Wa Pili, Joh Makini, G-Nako na yeye mwenyewe. Baada ya Joh Makini kuachia wimbo wake mpya na video, ‘Don’t Bother’ aliomshirikisha rapper AKA wa Afrika Kusini , Bonta aliandika post yenye utata kidogo kwenye akaunti yake ya Instagram.

BONTA

Hiki ndicho aliandika;

“JOHN aka
RUPTURE aka
@joh_makini aka
MWAMBA aka
ADILI KUMBUKA aka
D ROB aka
MTOTO WA DANDU aka
STIVE II K aka
COW BAMA aka
LANGA aka
FREDY JEBI aka
BABA KING / BABA...

 

11 years ago

GPL

TAARIFA RASMI YA DKT. REGINALD A. MENGI MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP LIMITED YENYE KUJIBU MAELEZO YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA MUHONGO KUHUSU HODHI YA VITALU

Reginal Mengi. Baada ya Mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara ((TNBC) uliofanyika tarehe 16 Desemba 2013, chini ya uenyekiti wa Mhe. Rais, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo, sikutegemea kwamba Mhe. Profesa Muhongo angeendeleza mashambulizi dhidi yangu kwa sababu katika mkutano huo ambao ulikuwa na mafanikio makubwa tulifikia maamuzi ya kudumisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta Binafsi, kitu ambacho nimekuwa...

 

5 years ago

Michuzi

ALICHOKISEMA MKURUGENZI TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE PROFESA MOHAMED JANAB KUHUSU HATARI YA UGONJWA WA CORONA NA USHAURI WAKE KWA WATANZANIA


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii


WAKATI Dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona( COVID-19) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Profesa Mohame Janab amewaambia Watanzania kuwa kwasasa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine kwa kuepuka mikusanyiko, mikutano,send of na harusi huku akifafanua ugonjwa huo ni hatari na hauwezi kulinganishwa na aina nyingine ya mafua  au ugonjwa wowote.

Kupitia taarifa yake ambayo...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara

Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara View this document on Scribd

 

5 years ago

CCM Blog

WANAHABARI WATAKIWA KUWA MAKINI KWA KUJIKINGA NA CORONA



Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa      Waandishi.Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (waliokaa katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Muhongo amuasa Simbachawene kuwa makini

Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo amekabidhi ofisi kwa Waziri wa sasa, George Simbachawene katika hafla fupi iliyofanyika ofisini kwake na kumwambia awe makini katika utendaji kazi hasa kwenye mikataba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelezo muhimu kuhusu Ukatoliki Afrika

Ingawa idadi ya Wakatoliki inapungua maeneo mengine duniani, Afrika waumini wa kanisa hili wanaongezeka na kufikia sasa kuna waumini 200 milioni wa Kanisa Katoliki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelezo kuhusu uraia wa waathiriwa wa Hajj

Maelezo ya uraia wa waathiriwa wa mkanyagano uliotokea wakati wa Hajj nje ya Mecca siku ya alhamisi yanaendelea kutolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani