Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCNHI TABORA WAINGIWA NA KIWEWE BAADA YA MTI ULIOANGUKA MIAKA 3 ILIYOPITA UMENYANYUKA WENYEWE


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

STEVE JOB AKUMBUKWA BAADA YA KIFO CHAKE MIAKA MINNE ILIYOPITA

MWASISI mwenza wa kampuni la zana za kompyuta la Apple, Steve Jobs, amekumbukwa leo na kampuni lake na walimwengu baada ya kufariki miaka minne iliyopita. Mwasisi mwenza wa kampuni la zana za Kompyuta la Apple, Steve Jobs. Kiongozi wa kampuni hilo, Tim Cook, na viongozi wengine wa kampuni hilo waliadhimisha tukio hilo kwa kummwagia sifa mwenzao huyo aliyefariki na kuliachia sifa kubwa kampuni hilo maarufu duniani. Katika...

 

9 years ago

Bongo5

Diva amlilia mpenzi wake aliyefariki miaka 12 iliyopita

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amemlilia mpenzi wake aliyefariki miaka 12 iliyopita. Diva ametumia Instagram kuandika ujumbe mrefu unaosikitisha kueleza ni kwa kiasi gani anamkosa mtu huyo: 12 years My Love 12 years , hata siamini, kama ni kitabu yaan naandika nashindwa Malizia, wanasema kwenye Maisha unapenda Mara Moja tu, ama kweli Mara […]

 

10 years ago

Michuzi

Chikawe: Niliamua kugombea urais miaka mitano iliyopita

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe (pichani), ambaye ni mmoja wa wanachama wa CCM waliochukua fomu za kugombea kiti cha urais, amesisitiza kuwa uamuzi wa kugombea nafasi hiyo aliufikia miaka mitano iliyopita na kuwaomba wana-CCM kuwapuuza wale wanaosema hakupanga kuomba nafasi hiyo.
Waziri Chikawe, ambaye amekamilisha kazi ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania Bara na Zanzibar kama taratibu zinavyoelekeza, amesema uamuzi wake wa kugombea nafasi hiyo aliufanya baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.

 

10 years ago

Vijimambo

Mzee wa miaka 70 jela kwa kukata mti


Mahakama ya Wilaya ya Kigoma imemhukumu Zuberi Lubengela (70) kutumikia kifungo cha miezi sita jela, kwa kosa la kukata mti aina mgunga wenye thamani ya Sh. 100,000, mali ya kanisa la TAG lililopo kijiji cha Kiganza.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, David Ngunyale, baada ya upande wa mashtaka kuiridhisha mahakama kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo.

Hakimu Ngunyale alisema mahakama inatoa adhabu kali dhidi ya mshtakiwa ili iwe fundisho kwake na kwa wazee...

 

11 years ago

KwanzaJamii

kilimo cha Ngoro kilianzishwa miaka 300 iliyopita Mbinga

Na Albano Midelo NGORO pichani juu  ni aina ya kilimo kinachohifadhi mazingira kwa njia ya asili ambacho kinaaminika kilianza kutumika na wakulima wa kabila la wamatengo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma zaidi ya miaka 300 iliyopita. Kilimo cha ngoro kilianzishwa na wazee maarufu wa kabila la wamatengo waliotokea nchini Malawi katika karne ya 17 ambapo tayari vizazi zaidi ya 10 vimepita hivi sasa tangu kilimo cha ngoro kilipoanzishwa wilayani Mbinga. Moja ya madhumuni ya kuanzisha kilimo hiki ni...

 

10 years ago

GPL

AFGHANISTAN YASEMA MULLAH OMAR ALIKUFA MIAKA MIWILI ILIYOPITA

Aliyekuwa kiongozi Mkuu wa Taliban, Mullah Omar anayedaiwa kufariki dunia. SERIKALI ya Afghanistan leo ilikuwa inachunguza kuvuja kwa habari miongoni mwa maofisa wake kwamba kiongozi wa Taliban, Mullah Omar, amefariki. Uchunguzi huo umekuja baada ya maofisa wa serikali kudai kwamba mpiganaji huyo aliyekuwa na jicho moja alifariki miaka miwili iliyopita kutokana na ugonjwa.  Hata hivyo, msemaji wa Taliban, Zabihullah Mujahidin,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wazazi wampata mtoto wao aliyeibiwa miaka 32 iliyopita China

Familia moja China, aliyoibiwa mtoto wao wa kiume katika hoteli mwaka 1988 imempata baada ya miaka 32.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani