Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAISHA YA UTEJA YA RAY C HADHARANI

MSANII mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ atayaweka hadharani maisha yake ya utumiaji wa madawa ya kulevya baada ya kumpata mfadhili kutoka Ujerumani ambaye atarekodi historia yake katika mkanda wa video. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LzMMUA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAY, CHUCHU HANS WAONESHANA MAHABA HADHARANI!

Richard bukos
MAHABA popote! Licha ya kudaiwa ‘wamemwagana’, wapenzi wawili ambao ni wasanii ndani ya Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans wameoneshana mahaba mazito hadharani na kuwaziba midomo waliodhani hawawezi kuwa pamoja tena. Wasanii ndani ya Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans wakionyeshana mahaba. Ishu hiyo ilinaswa hivi karibuni na ‘kasuku’...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Awapa Makavu Wanaofatilia Maisha ya Watu Insta

Ray

Ray

Ray ameandika haya kwenye ukurasa wake Instagram.
“Kijana mwenzangu mwaka ndio huo unaisha inama tafakari nini ulichokifanya mwaka huu,je ulichokipanga kimefanikiwa kwa asilimia ngapi au kazi yako ilikuwa nikuangaika na maisha ya watu kwenye insta?
Wenzako wanapiga hatua kumi mbele wewe unapiga hatua kumi nyuma. ujachelewa achana na maisha ya watu pambana na maisha yako ..(life is all about the money.)”

Nadhani Ujumbe umefika.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yamaliza uteja

YANGA imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe, Busungu wafuta uteja

Ngoma ya kitoto siku zote haikeshi! Ndivyo, unavyoweza kueleza mchezo wa jana baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm achoka na uteja Yanga

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, amesema kama ataendelea kukinoa kikosi hicho, anaamini atafuta uteja wa kufungwa na watani wao wa jadi, Simba, ambao mara yao ya mwisho kuwafunga katika ligi ilikuwa msimu wa 2012/ 2013.
Yanga, ikiwa inanolewa na kocha Mholanzi, Ernest Brandts, iliibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba Mei 19, 2013, huku Wanajangwani hao wakiweza kuibuka mabingwa wa msimu huo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, baada ya kufungwa bao...

 

11 years ago

Mwananchi

Real kufuta uteja kwa Liverpool

Miamba ya Ulaya yenye mataji 15 kwa ujumla baina yao, i wanakutana kwenyeatika Uwanja wa Anfield kesho, wakati Liverpool wakitaka kuendeleza ubabe wao mbele ya Real Madrid kwenye mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani