Tambwe, Busungu wafuta uteja
Ngoma ya kitoto siku zote haikeshi! Ndivyo, unavyoweza kueleza mchezo wa jana baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo08 Nov
Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.
10 years ago
Habarileo13 Apr
Polisi wafuta mkutano wa CUF
POLISI katika Mkoa wa Kaskazini Unguja wamezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Wananchi (CUF) ambao ulikuwa ufanyike katika Jimbo la Kitope kwa maelezo kuwa haukupata kibali cha jeshi hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrWXoZ445Q*oID3frNFn8gYszQlQlJUNnrBoE-MuXzrc1Id4ue*1kZ2XBCCZc5l3yvT4X0FOUra2vHc2wYQP68s/1.gif?width=650)
Busungu asaini Yanga
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
ICC wafuta mashitaka dhidi ya Kenyatta
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai iliyokua inamkabili Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta kutokana na kutokamilika kwa ushahidi.
Mwendesha mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8PmHLKJijbMVVHojKL3Nl5fRwK2phiG17sS7-eN02p4LmQ*bQKI3R24lHxhEEjnWdSJHWuGKJ429t5K2Tga4XA/Nay.jpg)
WALIOZAA NA NAY WAFUTA BIFU LAO
9 years ago
Habarileo28 Oct
Maguri, Busungu waitwa Stars
WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Busungu ajipongeza kuitwa Stars
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Malimi Busungu amesema juhudi zake ndizo zilizofanikisha kutimia kwa ndoto zake za siku nyingi za kuitwa kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars.
9 years ago
Habarileo08 Nov
‘Kuondoka kwa Busungu kumeniumiza’
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Mgambo JKT inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Fuluzulu Maganga, amesema kufifia kwa kiwango chake msimu huu kumetokana na kuondoka kwa pacha wake Malimi Busungu aliyejiunga na Yanga msimu huu.