Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIOZAA NA NAY WAFUTA BIFU LAO

Musa Mateja/Ijumaa
Mabinti wawili waliozaa na msanii wa muziki, Emmanuel Elbarik ‘Nay wa Mitego’, Siwema na Skyna Ally ambao awali ilidaiwa walikuwa na bifu zito, sasa wameamua kuwa mashosti.Ijumaa hivi karibuni liliwanasa wawili hao kwenye Ukumbi wa Escape One, Msasani jijini Dar wakiwa beneti kama mtu na mke mwenza na lilipotaka kuzungumza nao wote walichenga na kutaka waachwe. Mrembo aliyezaa na msanii wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PETER WA P-SQUARE AFUNGUKIA BIFU LAO

Peter Okoye. PETER na Paul Okoye wamekuwa wakikwaruzana kila mara kiasi cha kuwashangaza watu ila Peter ameamua kuweka wazi kuwa, kugombana kwao kusichukuliwe kama kitu cha ajabu kwani nao ni binadamu Akizungunza na mtandao mmoja nchini humo. P-square. Peter alisema kuwa kutofautiana kwao ni jambo la kawaida na imekuwa ikitokea hivyo mara nyingi lakini baadaye maisha yanaendelea.“Huwa inatokea kutofautiana kwa hapa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Ludacris, Drake wamaliza bifu lao

Luda na DrackNA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Christopher Brian ‘Ludacris’ na mkali kutoka kundi la Young Money, Aubrey Drake, wamemaliza ugomvi wao wa miaka mitano.
“Binadamu hatujakamilika, mimi na Drake tulikuwa na mambo yetu, akiwa kama binadamu alikuja kwangu na kuomba msamaha tumeyamaliza.
“Tulikuwa na mgogoro kwa kipindi cha miaka mitano, halikuwa jambo zuri na ndio maana kila kitu kipo sawa kwa sasa.
“Vijana wengi hawapendi kukubali kosa, lakini mtu mwenye akili timamu anatakiwa...

 

10 years ago

CloudsFM

DAVIDO,WIZKID WAMALIZA BIFU LAO

Mastaa wa nchini Nigeria,Davido na Wizkid wanaida kumaliza bifu lao lililodumu kwa miezi kadhaa la kutupiana vijembe kwenye mitandao na interview kadha walizofanyiwa.

Wiz na Davido wamekutana ndani ya Escape Night Club iliyopo Ilorin huko Nigeria na picha zinaonyesha wakiwa kama washkaji

 

9 years ago

Global Publishers

Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya

donDon Jazzy na Olamide wakipeana mikono.

HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza  wakubwa,  Olamide na Don Jazzy.  Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.

Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...

 

11 years ago

GPL

BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA

Stori:  Imelda Mtema, Arusha
WERAWERAA! Staa wa Bongo anayesumbua kwenye mitindo na sinema, Jokate Mwegelo amekubali kushindwa baada ya kumwangukia Wema Sepetu waliyekuwa kwenye bifu la kimyakimya wakigombea penzi la Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Tukio hilo la kufungulia mwaka lilijiri wikiendi iliyopita jijini Arusha, katika kiwanja cha kulia bata, Triple A Club ambapo Wema alikuwa akimtambulisha...

 

9 years ago

GPL

MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI

New York, Marekani WAKALI wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ waliokuwa kwenye bifu kali kiasi cha kupigana vijembe kwenye mashairi, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na kwenye matamasha yao limekwisha rasmi. Wakali wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ wakishikana...

 

10 years ago

GPL

MADEE, NAY WAMALIZA BIFU

Na Musa Mateja WASANII waliokuwa wakipigania cheo cha urais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’, na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, hatimaye wamemaliza tofauti zao baada ya kudumu kwenye bifu kwa muda mrefu. Mkali wa Bongo fleva,Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Ishu hiyo imejidhihirisha kwenye mbio za Serengeti Fiesta 2013, ambapo muda mwingi wamekuwa wakishirikiana kwenye kazi zao za...

 

11 years ago

Habarileo

Waliozaa wakiwa shuleni kusakwa warudi darasani

Paza MwamlimaWILAYA ya Mpanda mkoani Katavi itafanya operesheni maalumu ya kuwasaka, kuwakamata na kuwarejesha shuleni wanafunzi wote waliokatiza masomo kwa utoro na ambao tayari wameshazaa.

 

10 years ago

Bongo5

Behind The Scenes: Utengenezaji wa video ya Nay Wa Mitego ‘Mr Nay’ nchini Kenya

Nay Wa Mitego ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania walioamua kwenda kufanya video nje mwaka huu, na hii ikiwa ni mara yake ya pili kufanyia video nchini Kenya. Hii ni video ya behind the scenes ya wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Mr Nay’ iliyofanyika Nairobi, Kenya wiki chache zilizopita na kuongozwa na director Kevin […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani