Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADEE, NAY WAMALIZA BIFU

Na Musa Mateja WASANII waliokuwa wakipigania cheo cha urais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’, na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, hatimaye wamemaliza tofauti zao baada ya kudumu kwenye bifu kwa muda mrefu. Mkali wa Bongo fleva,Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Ishu hiyo imejidhihirisha kwenye mbio za Serengeti Fiesta 2013, ambapo muda mwingi wamekuwa wakishirikiana kwenye kazi zao za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

DAVIDO,WIZKID WAMALIZA BIFU LAO

Mastaa wa nchini Nigeria,Davido na Wizkid wanaida kumaliza bifu lao lililodumu kwa miezi kadhaa la kutupiana vijembe kwenye mitandao na interview kadha walizofanyiwa.

Wiz na Davido wamekutana ndani ya Escape Night Club iliyopo Ilorin huko Nigeria na picha zinaonyesha wakiwa kama washkaji

 

11 years ago

GPL

JINI KABULA, ISABELA WAMALIZA BIFU

Stori: Gladness Mallya PEACE! Baada ya wasanii wawili waliokuwa wanaunda Kundi la Scorpion Girls, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda kuwa kwenye bifu kwa miezi kadhaa, hatimaye wamepatana. Wasanii wawili waliokuwa wanaunda Kundi la Scorpion Girls, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda wakiwa kwenye picha ya pamoja. chanzo makini ambacho ni rafiki wa karibu na wasanii hao kikizungumza...

 

10 years ago

Mtanzania

Ludacris, Drake wamaliza bifu lao

Luda na DrackNA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Christopher Brian ‘Ludacris’ na mkali kutoka kundi la Young Money, Aubrey Drake, wamemaliza ugomvi wao wa miaka mitano.
“Binadamu hatujakamilika, mimi na Drake tulikuwa na mambo yetu, akiwa kama binadamu alikuja kwangu na kuomba msamaha tumeyamaliza.
“Tulikuwa na mgogoro kwa kipindi cha miaka mitano, halikuwa jambo zuri na ndio maana kila kitu kipo sawa kwa sasa.
“Vijana wengi hawapendi kukubali kosa, lakini mtu mwenye akili timamu anatakiwa...

 

10 years ago

CloudsFM

Tundaman,Matonya wamaliza ‘bifu’,kufanya ngoma pamoja.

Lile bifu la wasanii wa Bongo Fleva,Tundaman na Matonya lililodumu kwa muda wa miaka nane limemalizwa leo kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM. Tundaman ndiye aliyekuwa wa kwanza kuingia kwenye kipindi ambapo leo alikuwa akizungumza na mashabiki wake na kuitambulisha ngoma yake mpya iitwayo ‘Achana na Mimi’ ambapo mtangazaji wa kipindi hicho,Husna Abdul alimuuza kuhusiana na bifu na Matonya alisema hana tatizo naye.
Ndipo Husna alipomuuliza kuwa kama akitokea Matonya kwa muda huo...

 

9 years ago

GPL

MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI

New York, Marekani WAKALI wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ waliokuwa kwenye bifu kali kiasi cha kupigana vijembe kwenye mashairi, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na kwenye matamasha yao limekwisha rasmi. Wakali wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ wakishikana...

 

9 years ago

Global Publishers

Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya

donDon Jazzy na Olamide wakipeana mikono.

HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza  wakubwa,  Olamide na Don Jazzy.  Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.

Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...

 

10 years ago

GPL

WALIOZAA NA NAY WAFUTA BIFU LAO

Musa Mateja/Ijumaa
Mabinti wawili waliozaa na msanii wa muziki, Emmanuel Elbarik ‘Nay wa Mitego’, Siwema na Skyna Ally ambao awali ilidaiwa walikuwa na bifu zito, sasa wameamua kuwa mashosti.Ijumaa hivi karibuni liliwanasa wawili hao kwenye Ukumbi wa Escape One, Msasani jijini Dar wakiwa beneti kama mtu na mke mwenza na lilipotaka kuzungumza nao wote walichenga na kutaka waachwe. Mrembo aliyezaa na msanii wa...

 

10 years ago

Bongo5

Usichokifahamu kuhusu ‘concept’ ya video mpya ya Nay wa Mitego ‘Mr Nay’

Kwa mtu ambaye tayari ameiona video mpya ya Nay Wa Mitego, ‘Mr Nay’ huenda swali la kwanza ambalo atajiuliza mara baada ya kuitazama au akipata nafasi ya kukutana na Nay atamuuliza ni ‘hiyo concept ya video, zile damu damu na ‘mask’ za kutisha, minyororo na hizo sign zote zina maana gani?’ Mara nyingi au mara […]

 

10 years ago

Bongo5

Behind The Scenes: Utengenezaji wa video ya Nay Wa Mitego ‘Mr Nay’ nchini Kenya

Nay Wa Mitego ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania walioamua kwenda kufanya video nje mwaka huu, na hii ikiwa ni mara yake ya pili kufanyia video nchini Kenya. Hii ni video ya behind the scenes ya wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Mr Nay’ iliyofanyika Nairobi, Kenya wiki chache zilizopita na kuongozwa na director Kevin […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani