Ludacris, Drake wamaliza bifu lao
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Christopher Brian ‘Ludacris’ na mkali kutoka kundi la Young Money, Aubrey Drake, wamemaliza ugomvi wao wa miaka mitano.
“Binadamu hatujakamilika, mimi na Drake tulikuwa na mambo yetu, akiwa kama binadamu alikuja kwangu na kuomba msamaha tumeyamaliza.
“Tulikuwa na mgogoro kwa kipindi cha miaka mitano, halikuwa jambo zuri na ndio maana kila kitu kipo sawa kwa sasa.
“Vijana wengi hawapendi kukubali kosa, lakini mtu mwenye akili timamu anatakiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXKHYN7Dmu5wJSrKVwSnjIhwcL12jlVDO*e1ETbgLT3WHnMk9Ds*R5oSZ0WxngM2ZdDqPnI26QtUFMVMHSjYYw-/MeekMillandDrakebeef.jpg?width=650)
MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI
10 years ago
CloudsFM16 Dec
DAVIDO,WIZKID WAMALIZA BIFU LAO
Mastaa wa nchini Nigeria,Davido na Wizkid wanaida kumaliza bifu lao lililodumu kwa miezi kadhaa la kutupiana vijembe kwenye mitandao na interview kadha walizofanyiwa.
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya
Don Jazzy na Olamide wakipeana mikono.
HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza wakubwa, Olamide na Don Jazzy. Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.
Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWYyCm22M2n93Gv1dZ7fVaVXBHENoswy8vW7rQpTzWupmO3fHGjHgO0LW*-zOvHFmYT5d8muxGMvjR0P2TkxoSD/MADEE.jpg)
MADEE, NAY WAMALIZA BIFU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8POorx1CJ3YTlCkXbJWBGTqDCdqMnh3wgls64uJmrB9FP*pm7BzxV-4Ks9ZddJXTEZLWyjuZ72sAUZUh7kTsEz/ISABELA.jpg)
JINI KABULA, ISABELA WAMALIZA BIFU
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Tundaman,Matonya wamaliza ‘bifu’,kufanya ngoma pamoja.
Ndipo Husna alipomuuliza kuwa kama akitokea Matonya kwa muda huo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkORtuUXI40ODOLT5R4mWzHTfp*0HNC7gIvswVSGjkWKSqLhcOnLb2rL8FRZLC8iHAORvog8YwiitWYx-qcwR9p/peter.jpg?width=650)
PETER WA P-SQUARE AFUNGUKIA BIFU LAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8PmHLKJijbMVVHojKL3Nl5fRwK2phiG17sS7-eN02p4LmQ*bQKI3R24lHxhEEjnWdSJHWuGKJ429t5K2Tga4XA/Nay.jpg)
WALIOZAA NA NAY WAFUTA BIFU LAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1goHeGM*aQGNkR-hCZ2rnxBVw4cHjLkT*W-8kGIBcCL5fLVnHx4Ql3o*BRUtmqUXaCS7Y7N9lMzKdPJnYwTrgG/jokate.jpg?width=650)
BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA