PETER WA P-SQUARE AFUNGUKIA BIFU LAO
![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkORtuUXI40ODOLT5R4mWzHTfp*0HNC7gIvswVSGjkWKSqLhcOnLb2rL8FRZLC8iHAORvog8YwiitWYx-qcwR9p/peter.jpg?width=650)
Peter Okoye. PETER na Paul Okoye wamekuwa wakikwaruzana kila mara kiasi cha kuwashangaza watu ila Peter ameamua kuweka wazi kuwa, kugombana kwao kusichukuliwe kama kitu cha ajabu kwani nao ni binadamu Akizungunza na mtandao mmoja nchini humo. P-square. Peter alisema kuwa kutofautiana kwao ni jambo la kawaida na imekuwa ikitokea hivyo mara nyingi lakini baadaye maisha yanaendelea.“Huwa inatokea kutofautiana kwa hapa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/45z4r7ugTty7t90d5dApGQYDaJW--wXcrwW7GyZgf*l0p88aYG0NxdJr4KofZ8jV6qEUIayERVAsFbMJ9e21ngqNM6R3YO2r/MTITU.jpg)
MTITU AFUNGUKIA BIFU LAKE NA STEVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8PmHLKJijbMVVHojKL3Nl5fRwK2phiG17sS7-eN02p4LmQ*bQKI3R24lHxhEEjnWdSJHWuGKJ429t5K2Tga4XA/Nay.jpg)
WALIOZAA NA NAY WAFUTA BIFU LAO
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Ludacris, Drake wamaliza bifu lao
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Christopher Brian ‘Ludacris’ na mkali kutoka kundi la Young Money, Aubrey Drake, wamemaliza ugomvi wao wa miaka mitano.
“Binadamu hatujakamilika, mimi na Drake tulikuwa na mambo yetu, akiwa kama binadamu alikuja kwangu na kuomba msamaha tumeyamaliza.
“Tulikuwa na mgogoro kwa kipindi cha miaka mitano, halikuwa jambo zuri na ndio maana kila kitu kipo sawa kwa sasa.
“Vijana wengi hawapendi kukubali kosa, lakini mtu mwenye akili timamu anatakiwa...
10 years ago
CloudsFM16 Dec
DAVIDO,WIZKID WAMALIZA BIFU LAO
Mastaa wa nchini Nigeria,Davido na Wizkid wanaida kumaliza bifu lao lililodumu kwa miezi kadhaa la kutupiana vijembe kwenye mitandao na interview kadha walizofanyiwa.
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya
Don Jazzy na Olamide wakipeana mikono.
HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza wakubwa, Olamide na Don Jazzy. Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.
Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1goHeGM*aQGNkR-hCZ2rnxBVw4cHjLkT*W-8kGIBcCL5fLVnHx4Ql3o*BRUtmqUXaCS7Y7N9lMzKdPJnYwTrgG/jokate.jpg?width=650)
BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXKHYN7Dmu5wJSrKVwSnjIhwcL12jlVDO*e1ETbgLT3WHnMk9Ds*R5oSZ0WxngM2ZdDqPnI26QtUFMVMHSjYYw-/MeekMillandDrakebeef.jpg?width=650)
MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-TVFc4NqpAaw/Va087M8zegI/AAAAAAAACsY/3n2f71JDC18/s72-c/u3CzquVwHKtF3bsInN9enFQz.jpg)
P-SQUARE (PETER & PAUL OKOYE) PROFILE
![](http://1.bp.blogspot.com/-TVFc4NqpAaw/Va087M8zegI/AAAAAAAACsY/3n2f71JDC18/s640/u3CzquVwHKtF3bsInN9enFQz.jpg)
P-Square are a Nigerian R&B duo composed of identical twin brothers Peter Okoye and Paul Okoye. They produced and released their albums through Square Records. In December 2011, they signed a record deal with Akon's Konvict Muzik label. In May 2012, they signed a record distribution deal with Universal Music South Africa.
The story of P-Square began in St. Murumba secondary school, a small Catholic school in Jos, Nigeria. Identical twins Peter and Paul joined their school music and drama club...
10 years ago
Bongo513 Oct
Peter Okoye (P-Square) apata shavu la ubalozi wa Olympic Milk